chezea shuttle wewe hata ma sisterdo wanagombania hahahahhhhh:A S 11:
wew inaelekea husom hapa mbana hzo gari c za chuo ni za mtu binafsi tu, wew toka lin kukawa na utartatibu mzuri hivyo kwenye gvmt insttn
Nafikiri huyu ameshakuelewesha si kila School Bus ni la shule au chuo husika.otherwiseNawapongeza viongozi wenu ni wazo zuriYale mabasi sio ya chuo, ni huduma iliyo andaliwa ili kurahisishia wanafunzi usafiri. Badala ya kutembea muda mrefu na kugombea basi..linakufuata hapohapo chuoni na unachangia kiasi kile kile....
nahisi ni aidia nzuri sijui wewe unaionaje?