Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,630
- 4,253
- Thread starter
-
- #21
the problem with revolutionaries, unlike republicans, is that, they create more enemies than friends along their path, probably if Obama endorses the egyptian military coup, that will make their fight against terror more complex and being able to distinguish between the brother hood and alqaeda will be hard.
Already they have penetrated syria, not forgetting they have lost the fight against them in Afghanistan. Look at Libya recently, 40 people lost their life, that is after the west restored democracy, look how it has become unstable, this being real, Is sammy his own worst enemy?
ni lini kaka magharibi mwenye mkono mithili ya birika kutoa mkopo wa maana kama mchina. ksh 425 billion imetosha kuinua hali ya kaunti 47 miaka mitano. ni taifa ya mgaharibi gani itatoa billioni 5 dolla bila human kulalalama. imagine getting this money without a sweat. sio baraka hii....
halafu kwa nini unadhani there is unrest mpaka magazetini kuhusu huyu bwana kuenda ICC, kujibu mashtaka ambayo yaani ulimwengu unatazama. It is not just a small matter that is why OBama is restless
Have you thought how Kenyans will toil to repay back and how many non qualified chinese will pour in kenya to even do petty trades?
yaani unasoma vijigazeti vya hapa kenya ambavyo uhuru amehonga waandishi wake wampambe kisha unaconclude kuwa Obama is restless?
In fact you should pray for uhuru as he is the one who is not restless....he is trying hard to win diplomatic sympathy. Anajua kilihotendeka under his direct command which is waiting his answer at ICC.
acha kujikomba, be factual!!