Do not generalise.Habari zenu jamani !
Kuna swala moja huwa linanitatiza sana kuhusu hawa wanawake hususani katika maswala ya mahusiano !
Yaani wengi wao niliobahatika kukutana nao wana-compilications za ajabu ajabu tu.Yaani inafikia mahala huwezi jua anataka nini au kachukia kipi. Ilimuradi ni vurugu tu !
Hivi kwa nini wanawake wanakuwa hivyo ???
Habari zenu jamani !
Kuna swala moja huwa linanitatiza sana kuhusu hawa wanawake hususani katika maswala ya mahusiano !
Yaani wengi wao niliobahatika kukutana nao wana-compilications za ajabu ajabu tu.Yaani inafikia mahala huwezi jua anataka nini au kachukia kipi. Ilimuradi ni vurugu tu !
Hivi kwa nini wanawake wanakuwa hivyo ???
kwa kweli hawa wadudu kakananii wakati mwingine wanatia kichefuchefu. sijui wana mapepo! wakati mwingine unaweza ukashindwa kuwaelewa kabisa. waweza kumpa kila kitu na kumheshimu lakini asikuelewe. hawa viumbe ni wa ajabu sana kusema kweli.
remember your mother, sister, wife and daughter
kwa kweli hawa wadudu kakananii wakati mwingine wanatia kichefuchefu. sijui wana mapepo! wakati mwingine unaweza ukashindwa kuwaelewa kabisa. waweza kumpa kila kitu na kumheshimu lakini asikuelewe. hawa viumbe ni wa ajabu sana kusema kweli.
Binadamu ambao ni "complicated" wake pande zote mbili si wanawake pekee yao ambao wako "complicated".
Habari zenu jamani !
Kuna swala moja huwa linanitatiza sana kuhusu hawa wanawake hususani katika maswala ya mahusiano !
Yaani wengi wao niliobahatika kukutana nao wana-compilications za ajabu ajabu tu.Yaani inafikia mahala huwezi jua anataka nini au kachukia kipi. Ilimuradi ni vurugu tu !
Hivi kwa nini wanawake wanakuwa hivyo ???
Habari zenu jamani !
Kuna swala moja huwa linanitatiza sana kuhusu hawa wanawake hususani katika maswala ya mahusiano !
Yaani wengi wao niliobahatika kukutana nao wana-compilications za ajabu ajabu tu.Yaani inafikia mahala huwezi jua anataka nini au kachukia kipi. Ilimuradi ni vurugu tu !
Hivi kwa nini wanawake wanakuwa hivyo ???
Guess your remote is not working .. mhh you sound extremely complicated already if not confused ... pole sana .. change the batteries .. maybe duracell will do.