Why You?

Mosachaoghoko

Senior Member
Joined
Apr 19, 2011
Posts
137
Reaction score
10
jf naomba kufahamishwa zaidi mbona siku hizi kila dada/mama unaemtongoza an wakati mwingine wengingine wakutaka wnyewe kuna nini kinaendelea kwetu madume ya mbegu maana hamna anaekataa offer anayepewa
 
huo unaitwa usawa.na sisi tunaweza.jee kwani ni kosa?
 
jf naomba kufahamishwa zaidi mbona siku hizi kila dada/mama unaemtongoza an wakati mwingine wengingine wakutaka wnyewe kuna nini kinaendelea kwetu madume ya mbegu maana hamna anaekataa offer anayepewa

mkuu inategemea na mazingira na wakati pia! Kama unatongozea mitaa yeye ma bar mengi usitegemee kukataliwa.

Pia kama unatonga kipindi cha kukaribia kwa sikukuu pia usitarajie kuktaliwa mana wanahitaji sana pochi yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…