Why?

Why?

sentensi yako ni tata sana;

Naomba nigongee thanks, (Hope it will be your first hit)

Ha ha ha jamaa mchoyo kweli yeye ana 44 yeye hata moja hajatoa....................

Namimi ningongee basi kwa kuwa wapili kucomment kwenye thread yako
 
Mimi sijaelewa....mhhh...inaonekana ninahitaji mwl wa kingereza...mhhh!!!

Dena, waweza kunitafsria dear?
 
Women hit men but men can't hit back?
Hizo Hit ndo tatizo kunyumbulisha kwenye maana uliyomaanisha maana ina maana lukuki!!Kwahiyo moja niliyoifikiria nikweli kutokana na mazingira yake!!
 
Ha ha ha jamaa mchoyo kweli yeye ana 44 yeye hata moja hajatoa....................

Namimi ningongee basi kwa kuwa wapili kucomment kwenye thread yako

huyu mwanaume mwenzangu sasa kama yeye hawezi hata kutoa thanks, kweli ataweza ku-hit back..mwanamke anapigwa na upande wa kitenge mkuu (any way ni misemo ya sisi vijana wa zamani)
 
ukiolewa utaelewa tu...ngoja Jaguarpaw aje afafanue

Kutokana na maelezo yako kwenye hii comment, ndo napata mwanga kidogo alikuwa anasema nin.......

huyu mwanaume mwenzangu sasa kama yeye hawezi hata kutoa thanks, kweli ataweza ku-hit back..mwanamke anapigwa na upande wa kitenge mkuu (any way ni misemo ya sisi vijana wa zamani)
 
ukiolewa utaelewa tu...ngoja Jaguarpaw aje afafanue
kama walivyojibu wengine,namaanisha ngumi/kibao/teke and whatever,mtendaji akiwa mwanamke dhidi ya mwanaume.
 
Back
Top Bottom