Hahahahaha loohhhuyo jamaa alikiwa kiwembe..Afadhali ya huyu (Bobbity) waliipata.Duhhh huyu mwingine yake imesagwa kabisa...Kuna watu wanyama kwa kweli lohhhWale walikuwa John na Lorena Bobbit...ila waliiwahi wakaipeleka hospitali ikaunganishwa tena na jamaa akaja kucheza filamu ya pono.....teh teh teh....I guess wife aliona kapatia mwenyewe kumbe wapi.
mwenye hasara ni huyo aliechopiwa,mke c atapata nyingine tu.
NN nilikuwa najaribu kufikiria ukimwamga tindikali kwenye kimkojo downloader madaktari itabidi wafanye kazi ya zaidi maana ukiangalia na maumbile yake kurudisha hali iliyokuwepo mwanzoni itakuwa ishu.
Hahahahaha loohhhuyo jamaa alikiwa kiwembe..Afadhali ya huyu (Bobbity) waliipata.Duhhh huyu mwingine yake imesagwa kabisa...Kuna watu wanyama kwa kweli lohhh
NN nilikuwa najaribu kufikiria ukimwamga tindikali kwenye kimkojo downloader madaktari itabidi wafanye kazi ya zaidi maana ukiangalia na maumbile yake kurudisha hali iliyokuwepo mwanzoni itakuwa ishu.
WellI'm sure you can get another one..(Chinese plastic ) lolzSio kuogopa......we all make mistakes....sasa hizi adhabu za kuharibu......What if you are wrong...surely you can't reverse the chopping......
Kabisa....Ila naona wanaongelea tindikali lohhh π π πmwenye hasara ni huyo aliechopiwa,mke c atapata nyingine tu.
Aisee ngoja nikutafute unipe hizo mixture lolzkwa sisi wakemia,kuna tindikali unaweza ukaimwagia hiyo kitu,
na hatimaye kukaziba kabisa......................yaani ule mfereji kwishney ..............
Don't mess with Chinese well wanaweza kuja na hiyo package lolzWellI'm sure you can get another one..(Chinese plastic ) lolz
Dahhh kwanza alimpa sumu pili kamfunga Kitandani akaiferenga na kuisaga kwenye Disposal ... Hatari πKheeee kumbe ya huyu imesagwa kama ki hot dog? Ahahahahaaaaa.....pole ndugu uliyepoteza mali yako muhimu ana maishani.
Hahaha lolz Everything is possible ( Chinese ) lolz πDon't mess with Chinese well wanaweza kuja na hiyo package lolz
eeh mae nipo! Na mbona??Nawazia hizi hasira za kumchop mtu kifaa chake jamaneni, sijui unakuwa umekasirishwa kiasi gani tu!!? Unaamua basi ngoja tukikose wote.... Wee na hizo hasira zako mwenyewe huthubutu hii jinai...lol!
????????? π π πAisee ngoja nikutafute unipe hizo mixture lolz
Wee utasubiri tu dowloader yako iharibiwe? Yaani ufanye kosa kubwa hivo afu utulie tu, huyo uliyempa kilema kwanza ujue atakuwa kama nyati aliyejeruhiwa!Kabisa....Ila naona wanaongelea tindikali lohhh π π π
Eeh maana hapo sasa uanamme wa mwenzio uko wapi jamani!?Yaani huo ni unyama usiosemeka mae! Hii inipishie mbali.hapo hakuna tena kusameheana yaani ni uadui wa maisha, lazima akuharibu tu na wewe usikilizie utamucdhubutu mae....khaaa...kamnyima mwenzie kitu cha muhimu sana sana kwa kweli, bora angemmaliza kabisa...lol
Usiogope nataka kufungua Laboratory kwa ajili ya kufundishia wanafunzi lolz????????? π π π
Hahahaha!!!Wee utasubiri tu dowloader yako iharibiwe? Yaani ufanye kosa kubwa hivo afu utulie tu, huyo uliyempa kilema kwanza ujue atakuwa kama nyati aliyejeruhiwa!
Enheee hapo sasa....usikute ulikurupuka tu, hivi utasemaje sasa baaadae...'ni hasira tu mume wangu, nisamehe tuishi kama zamani...'Khaa kama zamani bila kifaa chake mwenzio?Sio kuogopa......we all make mistakes....sasa hizi adhabu za kuharibu......What if you are wrong...surely you can't reverse the chopping......
Unajua huwezi kufanya kosa kubwa hivo eti afu ujikalishe usubiri kuhurumiwa! Utashangaa unaharibiwa jumla na ww! Ngoma bila bila!Hahahaha!!!
Enheee hapo sasa....usikute ulikurupuka tu, hivi utasemaje sasa baaadae...'ni hasira tu mume wangu, nisamehe tuishi kama zamani...'Khaa kama zamani bila kifaa chake mwenzio?