Wife kaninunia tena.

Dumuzii

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2019
Posts
3,593
Reaction score
8,595
Ni wiki sasa tangu nilione tabasamu lake, kilicho baki ni misonyo tu ndani ya nyumba.

Sababu kubwa ilio pelekea hiyo hali ni muvi ile ya bushmen (The gods must be crayz). Ilikua ni usiku tuaiangalia ikafika ile sehemu ambayo bushmen amarokota chupa na kuipeleka nyumbani.

Sasa alivyo ipeleka nyumbani familia yake ikawa inashangaa kwenye ile familia kulikua na binti mmoja anachuchu konzi zime simama haswa na nzuri. Si nikajikuta nimeropoka kuwa yule bint anachuchu nzuri basi hapo ndipo nilipo zima tabasamu la mke wangu mpendwa hadi leo. Na sijui naliwashaje tena. Maana hadi sasa vituko vyangu kwake na vikomedi vya hapa na pale wala havimchekeshi tena. Ni misonyo tu ndani.

Deepdown nawapenda sana wanawake vimodo wenye nyama nyama. Na wife alikua mmoja kati yao ila baada ya kunitotolea aisee amekua mbonge hatari na kwa sababu mimi ni chanzo cha ubonge wake nimeamua kukubaliana na hali yake kiroho safi.

Oneni na nyie

NB
Napenda muvi za kitambo cos zina uhalisia mwingi sio kama huu uchafu wa sikuhizi
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hata mie siwezi kukubali yani usifie kitu ambacho mimi sina 🤣
 
Mimi wangu huwa nasifiaga ananuna ila anatulia tu

hAta tukiwa mtaani ,ingawaje sio wakat wote ila kuna muda huwa nageuka na kuangalia misambwanda ila huwa namuomba ruhusa kiutan
Mimi pia alikua ananunanuna hapo mwanzo ila kwasasa hanaga tena shida, saa zingine yeye mwenyewe ndio ananionesha maana anajua vitu navyovipenda.[emoji1]

Ukiwa na mwanamke ambae anakuelewa na anachukulia vitu "easy" inakuwaga raha sana.
 
Siku na yeye akiona movie ya Mandingo akamsifia usiwe mnyonge bro.
Halafu hivi vitu havina muda, sasa hivi yeye kaharibika mwili Kwa uzazi (linarekebishika though, kuna gym na diet) Ila wewe muda unavyoenda nguvu zitaisha, vipi akianza kusifia kuwa kasikia kuna wanaume wanaupiga show masaa mawili non stop? Wakati huo wewe hiko kimoja mtihani?
Tujifunze kudhibiti ndimi, maneno yanaishi moyoni muda mrefu sana.
 
Wao ndio huwa wamependelewa hisia nadhani ndivyo wanavyojiona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…