Wife material anahitajika

Life starts at 45

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2015
Posts
998
Reaction score
987
Kwanza kabisa shukarani ziwafikie wote wana JF, Nahitaji mchumba ambaye atakuwa mke miaka 2-3 ijayo.
Sifa zangu
>Umri 22 miaka
>Rangi Mweusi
>Kabila mkurya
>Elimu utaijua PM
>Usafi ulinishinda kwa kiasi chake
>Urefu 172CM
>Uzito kg 62
>Mpole lakini hasira kama zote unaponiuzi
>
Sifa za mwanamke naye mtazamia in
>umri (18-20)yrs
>rangi asiwe mweusi sana
>elimu awe anajua kusoma,kuandika,kujumlisha na kutoa
>awe mtu ambaye unaweza mwanzia biashara akaimudu
>dini akiwa msabato itapendeza zaidi(kama ni dini tofauti na Yuko tayari kuwa msabato si shida)
>awe msataarabu

Kama unasifa tajwa hapo juu unakaribishwa PM
 
kwani ww unaishi porini hakuna wanawake mpaka uje jf???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…