Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,252
[emoji57] huna akili we....Mchukue msichana umpeleke gheto halafu MPIME kwa kumpa jiko la mkaa lililolowana awashe moto mpaka manailoni yote yaishe huku akichambua maharage magumu ayachemshe yaive apike ugali mle mshibe ikifika saa 12 Kama anakaa gongo la mboto mpe nauli 500 tu,
Akirudi tena kesho, MUOE kabisa huyo ni wife material usimuache...[emoji15] [emoji15] [emoji102] [emoji102]
sio kila mwanamke anaweza hayo ila kama kwao choka mbaya kesho lazima arudi na mabeg yake kabisaMchukue msichana umpeleke gheto halafu MPIME kwa kumpa jiko la mkaa lililolowana awashe moto mpaka manailoni yote yaishe huku akichambua maharage magumu ayachemshe yaive apike ugali mle mshibe ikifika saa 12 Kama anakaa gongo la mboto mpe nauli 500 tu,
Akirudi tena kesho, MUOE kabisa huyo ni wife material usimuache...[emoji15] [emoji15] [emoji102] [emoji102]