Wifi yangu amezidi

wanasema tenda wema nenda zako usingoje shukrani

 


Wote wawili muna matatizo yanayofanana..

Wewe ulitegemea kuheshimiwa sana kwakuwa uliwahi kumsaidia pengine ulikuwa na maneno maneno wakati huo..

Yeye ni limbukeni asiye weza ku control success??

Hapo ulipo unasubiri afeli ufurahi ili muwe pamoja (uchawi)...

wote nyie mna matatizo jitazameni
 
Julieth, mengi yameshasemwa hapa na wanaJF. Kilichobaki usijali, piga moyo konde usonge mbele na maisha yako. kama kakataa kuja kulala kwako ni vema pia maana kakupunguzia tabu za kumfikiria umpikie nini mgeni kwa siku atakazokaa hapo kwako. Usitegemee shukrani kutoka kwa binadamu mwenzio hata kama ni ndugu yako maana ndugu saa zingine hata wale wa damu wanaweza kukuvunja moyo hivi hivi kama huyo wifi yako.

Kiufupi, jali maisha yako na yeye aishi yake. kingine, usiwe utnaenda wema kwa mtu kwa kutegemea mazuri/wema kutoka kwake pia. maana kama uko hivyo utakuwa unaumia kila siku.
 
Jully wakati mwenzio anapanda maisha hadi u director we bado unakula dagaa na kuishi chumba cha kupanga?
Just curious?
 
haaaa huyo lazima yuko na mtu haiwezekani agome kisa hadhi
 
mbona hiyo poa tu,watu wazima kila mtu alale kwake, kutembeleana na kusalimiana inatosha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…