Wifi Zangu Mna Mambo......Kida Wazeer

Naelewaa mazoea aaa yana tabu lakini nitajitaidiii kusahau
this reminds me of Hemedi Maneti
 
aisee kweli bado anadunda!
Hivi yupo wapi huyu?na anafanya nn?
 
Nilikua namuona Arachuga mara kwa mara anakua na mabinti zake muda mwingi,maeneo ya via via kwa anaeijua arusha kuna wazungu wengi sana hapo,maza anapiga show kimtindo na watasha wanamtoa kama kawa.
 

mkuu umepatia hata mkuu safari ni safari najua amekubali!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kuna kipindi azam two kinaitwa midundo ya kale wanaalika waimbaji wa zamani kuimba nimemuona huyu mama jana. Yaani pamoja na kumsikia akiimba nikiwa bado kinda lakini hadi sasa bado yumo. Kuna mwenye mp3 ya wimbo wake wa wifi zangu?
 
you have taken me back to my youth and made me young again. mkuu hao walio na x ndo wenzetu waliotutangulia.......?
 
Hebu nionyesheni Mkuu wa Mkoa wa sasa wa Ruvuma SAID MWAMBUNGU katika picha hii.atakayeshinda nampatia PRETA kwa weekend yote (three days)




Said Mwambungu kwa sasa



Mbona X nyingi sana ina maana wote hao hatunao! du
 
Je hapo Toto Tundu alikuwepo, ni yupi hapo?
Je mzee John Kitime yupo hapo?
Je Bennovila Antony(Mtunzi wa Shoga aliourudia Phina Mango) yupo hapo?
Jerry Nashon yupo hapo?
Kwa hakika Vijana Jazz, ilikua bonge la Bendi
 
Sasa hivi anamuimbia Yesu Kristo...
Hallelujah
 
Nilikua namuona Arachuga mara kwa mara anakua na mabinti zake muda mwingi,maeneo ya via via kwa anaeijua arusha kuna wazungu wengi sana hapo,maza anapiga show kimtindo na watasha wanamtoa kama kawa.
Sasa ameokoka anahubiri injili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…