Yah ni namba ambazo ukiziunga kwenye group la whatsapp inakuwa inakuconnect na wikipedia inasearch kitu na kuleta majibu na kuyapost hapohapo kwenye group.
Lazima uanze na neno wiki meaning wikipedia then baada ya hilo neno kinachoendelea ndo inaenda kusearch wikipedia.
Hizo namba zinavarry from group to group.
Ni kitu cha kawaida sana usiogope ni sawa na uende wikipedia ukasearch kitu.
Pia hiyo namba inakuwa inaupdate issue za soccer.