The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Hahahhah Baba Gift...... pole mwaya hivi hata kina eliza unawaona wachungu? au nao wako kwenye uchaguzi lol
Babu hahhahah infii wako kulinda kura na kuchakachua ili mhishiwa arudi madarakani kwani alikuwa anawatengenezea mazingiza mazuri ya infidelity.........
mkuu naomba ukafute pale uliponinukuu kwenye ile post niliyochanganya habari.....
again
hakuna sheria inayoumruhusu INFIDELATOR kuoa mara mbili au zaid
enewei........
kuna moja ndo imenidisapoint zaid
waliojiandikisha 300,000
waliopiga kura 49,000
Na hapa jf Invii kafunga kile chumba cha maongezi....:A S angry:....
Ila cha kufurahisha....kulikua na sababu ya kuchelewa kurudi nyumbani....kulinda kura zetu zisichakachuliwe...
mkuu naomba ukafute pale uliponinukuu kwenye ile post niliyochanganya habari.....
again
hakuna sheria inayoumruhusu INFIDELATOR kuoa mara mbili au zaid
Asee! mi nilikagua bailojia yangu jana naona kama imesizi kwa muda....Kila saa kusikia Dovutwa Dovutwa~ haa
nimeungana na baba Gift kuzima kiredio cha tuktuk homme TV naangalia India sports tu......mbona tunataka kusababishiana "ugumba" mapema ivi
Ngoja chumba kifunguliwe kesho tukatest zari
Hommie Asprin mfano jana alikuwa na HALI MBAYA kabisa hadi walimpomtangaza Mdee....:A S angry:
Asee! mi nilikagua bailojia yangu jana naona kama imesizi kwa muda....Kila saa kusikia Dovutwa Dovutwa~ haa
nimeungana na baba Gift kuzima kiredio cha tuktuk homme TV naangalia India sports tu......mbona tunataka kusababishiana "ugumba" mapema ivi
Ngoja chumba kifunguliwe kesho tukatest zari
Hommie Asprin mfano jana alikuwa na HALI MBAYA kabisa hadi walimpomtangaza Mdee....:A S angry:
ha ha ha ha!Asee! mi nilikagua bailojia yangu jana naona kama imesizi kwa muda....Kila saa kusikia Dovutwa Dovutwa~ haa
nimeungana na baba Gift kuzima kiredio cha tuktuk homme TV naangalia India sports tu......mbona tunataka kusababishiana "ugumba" mapema ivi
Ngoja chumba kifunguliwe kesho tukatest zari
Hommie Asprin mfano jana alikuwa na HALI MBAYA kabisa hadi walimpomtangaza Mdee....:A S angry:
Asee! mi nilikagua bailojia yangu jana naona kama imesizi kwa muda....Kila saa kusikia Dovutwa Dovutwa~ haa
nimeungana na baba Gift kuzima kiredio cha tuktuk homme TV naangalia India sports tu......mbona tunataka kusababishiana "ugumba" mapema ivi
Ngoja chumba kifunguliwe kesho tukatest zari
Hommie Asprin mfano jana alikuwa na HALI MBAYA kabisa hadi walimpomtangaza Mdee....:A S angry:
jamani eeh ili kuondoa stress zaidi na zaidi labda pengine mnaonaje tungekutana pale mahala petu wajameni?
Hommie unaonaje hapo ungeanza na jina Halima? Hilo nalo ni angalizo....
jamani eeh ILI KUONDOA STRESS zaidi na zaidi labda pengine mnaonaje tungekutana pale mahala petu wajameni?
Nimeshado ze nidiful hommie
okay okay!......
tunahitaji kuonana leo kwa ajili ya ku-do ze needful na kuachana rasmi nahizi stress za politiks maanake dah!HAIWEZEKANI bana
okay okay!.....Mi nashauri iwe kesho bajameni!:car::car::car:πhone:πhone:πeace: