hehehe!pale hatuwezi kufanya vikao vyetu kwa sasa mpaka pale maslahi yetu yakudumu yatakapotuhakikishia ''umiliki''....namuogopa sana mwenyekiti:smile-big:Itabidi uwape daireksheni hawa binadamu...pale kwa Josephina panaweza kuua soko la Al-Batar
Itabidi uwape daireksheni hawa binadamu...pale kwa Josephina panaweza kuua soko la Al-Batar
okay okay!.....
Kwa heshima ya mwenyekiti nina-ishu kimemo kifuatacho:
the king is hereby announcing that our internal meeting will be persued on friday of 05th november 2010 from 17:00hrs till down....the same venue!please be informend that forget not to come with your copy of constitution,as we all know that there are some amendments to be decided collectively!...on the very serious note:mwenyekiti atakuwepo
rgds,
the king
royal palece
hehehe!pale hatuwezi kufanya vikao vyetu kwa sasa mpaka pale maslahi yetu yakudumu yatakapotuhakikishia ''umiliki''....namuogopa sana mwenyekiti:smile-big:
hehehe!pale hatuwezi kufanya vikao vyetu kwa sasa mpaka pale maslahi yetu yakudumu yatakapotuhakikishia ''umiliki''....namuogopa sana mwenyekiti:smile-big:
okay okay!.....
kwa heshima ya mwenyekiti nina-ishu KIMEMO KIFUATACHO:
the king is hereby announcing that our internal meeting will be persued on friday of 05th November 2010 from 17:00hrs till down....the same venue!please be informend that forget NOT to come with your copy of constitution,as we all know that there are some amendments to be decided COLLECTIVELY!...on the very serious note:MWENYEKITI ATAKUWEPO
rgds,
the king
ROYAL PALECE
Baba Gift umekuwa kama mie nimepoteza siku zangu mpaka mambo ya ndani ya nyumba ,,hii inahatarisha zaidi mahusiano ya watu ...hasira ,chuki na gadhabu zinasbabisha poor perfomance ndani ya nyumba ..unakuwa mkali kwa watoto na hasira zisizo na msingi ..kuingia JF naona kama kwenda kituo cha police
aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaagh!Kweli Uchaguzi 2010 :tape:
Baba Gift umekuwa kama mie nimepoteza Mood ya kila kitu mpaka mambo ya ndani ya nyumba ,,hii inahatarisha zaidi mahusiano ya watu ...hasira ,chuki na gadhabu zinasbabisha poor perfomance ndani ya nyumba ..unakuwa mkali kwa watoto na hasira zisizo na msingi ..kuingia JF naona kama kwenda kituo cha police
aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaagh!Kweli Uchaguzi 2010 :tape:
:doh::doh::doh::tape::tape::tape: Ngoja nicheki kama nina ANTI VIRUS
Pole sana mama wa kwanza.....siku zilipoteaje tena?
Unataka kusema FL1 ni mwathirika wa virusi?
Baba Gift umekuwa kama mie nimepoteza Mood ya kila kitu mpaka mambo ya ndani ya nyumba ,,hii inahatarisha zaidi mahusiano ya watu ...hasira ,chuki na gadhabu zinasbabisha poor perfomance ndani ya nyumba ..unakuwa mkali kwa watoto na hasira zisizo na msingi ..kuingia JF naona kama kwenda kituo cha police
aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaagh!Kweli Uchaguzi 2010 :tape:
Nani kwakwambia kama nimeathirika na virus ndo mwisho wa maisha ?:smile:harafu wewe !
Kaizer mbona ametulia sana ? Nijulisheni kama amepoteza jimbo lake
Tafadhari mtoto mzuri sitaki utani sasa ooho kipindi hiki unaweza kukwazana hata na baba mkwe ..
Na ukirudia Asprin ..najua ulivunjika nanihii ......unaendeleaje kuanzia kipindi cha maseji mpake leo??
Nipo, nimepoteza hamu, ila nikimfikiria Tundu Lisu, Halima Mdee, Mnyika, Mbowe, Lema, Wenje, Msigwa, Mr II, Selasini....hamu kama inarudi gafla.....