WIKI MBAYA KABISA!:wiki ya uchaguzi-2010

Mama Big!...dah......Mwekahazina tupe mwongozo hapa nimwambia amwone katibu St Roya for the nidiful?

Mdogo mdogo chairman. Nachukua ada kwanza:smile-big::smile-big::smile-big:
 
Jameni kuna mtu yoyote amesikia matkeo ya chama changu cha dovutwa updp akisikia tafadhali naomba anijulishe
 
ok ok ao guys what the hell is going on herein?
 
Mdogo mdogo chairman. Nachukua ada kwanza:smile-big::smile-big::smile-big:

Ada utachukua baadae...baada ya taratibu zote za kichama kukamilishwa......(sasa cheaman unasemaje, ni vizuri mweka hazina akaja mwishoni... :smile: )
 
Wameshinda jimbo la kerege (kwa Baba Gift)
hehehehe!
mkuu lile jimbo mi ndo ''lowassa'' wao......

ngumu sana kushinda!

ngumu sana hata kama matokeo yanakuwa kompyutalaizid
 
Ada utachukua baadae...baada ya taratibu zote za kichama kukamilishwa......(sasa cheaman unasemaje, ni vizuri mweka hazina akaja mwishoni... :smile: )

Ndo manake hommie.....mdogo mdogo
 
Ewaaaaaaaaaa>.....

Unajua hommie, Halima alikuwa na sifa mbili kuu zilizonifanya nimchague
1. Ni mwanachama hai wa vyama vyetu CHADEMA na ISC
2. Nadhani mmeshaona japo picha yake....need I say more?

Ole wake atakayemchakachua Halima wangu..........
ISC foreva dumu.
Thanx kwa invitation sir
 
Habari zenyu hommies! Hapa mnadiscuss nn?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…