WIKI MBAYA KABISA!:wiki ya uchaguzi-2010

Hivi mtu akiwa anaongea na simu halafu watu wengine wakapiga makelele :doh::doh: ............wapi pope....:A S angry::A S angry:
 
Aisee kale kameeting na chairman mwenyewe wa ISC kangekuwa leo, ingekuwa dabo rod sana, tena ile yenyewe ya toa lami weka lami
ndo hivyo tena tutafanyaje sasa............!ngoja tuone itakavyokuwa.....i can give you a benefit of doubt hapo!ngoja tufanye mchakato
 
Hivi mtu akiwa anaongea na simu halafu watu wengine wakapiga makelele :doh::doh: ............wapi pope....:A S angry::A S angry:
ha ha ha ha!
hii hoja iwekwe kiporo....

bai dhe wei mkimwona asprini-maralia haikubaliki mwambieni anipigie
 
Hivi mtu akiwa anaongea na simu halafu watu wengine wakapiga makelele :doh::doh: ............wapi pope....:A S angry::A S angry:

Dalili ya kuonyesha kuwa eti yuko kwenye PRESS CONFERENCE
 
ha ha ha ha!
hii hoja iwekwe kiporo....

bai dhe wei mkimwona asprini-maralia haikubaliki mwambieni anipigie

Bado yuko bar mpya....
Hivi radio zetu zimeacha kutaja Dovutwa Dovutwa kura 12 asilimia 0.04?
Hebu nichekie aisee....mi naogopa kuwasha redio yangu
..
 
Kimey alisahau badala ya kuita weee Eliza njoo hapa.....akaita weee DOVUTWA lete bia hapa

umesahau, alisema we DOVUTWA lete KUGA hapa!

na hiyo yote ndo inafanya asilimia MIA!
 
Bado yuko bar mpya....
Hivi radio zetu zimeacha kutaja Dovutwa Dovutwa kura 12 asilimia 0.04?
Hebu nichekie aisee....mi naogopa kuwasha redio yangu
..

Nilipowasha redio nikakuta wanamalizia kusema 0.01% :doh::doh::doh:nikaizima haraka kweli
 
Aisee kale kameeting na chairman mwenyewe wa ISC kangekuwa leo, ingekuwa dabo rod sana, tena ile yenyewe ya toa lami weka lami

,...am watching......kuna agenda moja ya dharura inamhusu ASPRIN manke TFDA wanataka kuitoa kwenye 'mzunguko'
 
Bado yuko bar mpya....
Hivi radio zetu zimeacha kutaja Dovutwa Dovutwa kura 12 asilimia 0.04?
Hebu nichekie aisee....mi naogopa kuwasha redio yangu
..
ha ha ha!mkuu mimi nimeshaitoa kabisa redio kwenye tukutuku.....citaki tena mambo ya ajabu mimi
 
umesahau, alisema we DOVUTWA lete KUGA hapa!

na hiyo yote ndo inafanya asilimia MIA!

HA HA HA HA HA HA HA HA HA HA, baadae kwenye gari alinishushia mistari ya CHADEMA TUNAPANDA, TUNAPANDA MILIMA, KAMA SIASA NI HATARI CHADEMA TUMESAFA LAKINI SASA TUNAKULA KUKU.......Kimeyyyyy habari yakeee banaaaa itabidi aingie studio arekodi track moja
 
,...am watching......kuna agenda moja ya dharura inamhusu ASPRIN manke TFDA wanataka kuitoa kwenye 'mzunguko'
Posted via Mobile

haya haya kumekucha na makucha yake.....!
naona mwnyekiti yupo safarini akitokea TANDAHIMBA hehehe
 
,...am watching......kuna agenda moja ya dharura inamhusu ASPRIN manke TFDA wanataka kuitoa kwenye 'mzunguko'

Ewaa ndugu cheamani.......Asprin kaingia mitini lakini...
 
,...am watching......kuna agenda moja ya dharura inamhusu ASPRIN manke TFDA wanataka kuitoa kwenye 'mzunguko'

Cheaman kama tukivyokuahidi, watoto wameshajipanga kuanzia kibamba kusubiri ujio wako huku wakiwa wanaonyesha alama ya 😛eace:....aidha kwa wale wenye ulemavu wa kutokuwa na kidole cha shahada, tumewaambia wasikupungie kabisa
 
Hivi vibatani vya senksi mbona vinaleta mambo kama ya NEC
 
Cheaman kama tukivyokuahidi, watoto wameshajipanga kuanzia kibamba kusubiri ujio wako huku wakiwa wanaonyesha alama ya 😛eace:....aidha kwa wale wenye ulemavu wa kutokuwa na kidole cha shahada, tumewaambia wasikupungie kabisa

Kwa Cheaman, Je? unatoa lami unaweka lami? au unatoa vumbi unaweka vumbi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…