ndo hivyo tena tutafanyaje sasa............!ngoja tuone itakavyokuwa.....i can give you a benefit of doubt hapo!ngoja tufanye mchakatoAisee kale kameeting na chairman mwenyewe wa ISC kangekuwa leo, ingekuwa dabo rod sana, tena ile yenyewe ya toa lami weka lami
ha ha ha ha!Hivi mtu akiwa anaongea na simu halafu watu wengine wakapiga makelele :doh::doh: ............wapi pope....:A S angry::A S angry:
leta bia WEKA BILI KWENYE GLASS!.....weka bili LETA BIA....!
Hivi mtu akiwa anaongea na simu halafu watu wengine wakapiga makelele :doh::doh: ............wapi pope....:A S angry::A S angry:
ha ha ha ha!
hii hoja iwekwe kiporo....
bai dhe wei mkimwona asprini-maralia haikubaliki mwambieni anipigie
nauza mwarobaini jamani.....
Kimey alisahau badala ya kuita weee Eliza njoo hapa.....akaita weee DOVUTWA lete bia hapa
Bado yuko bar mpya....
Hivi radio zetu zimeacha kutaja Dovutwa Dovutwa kura 12 asilimia 0.04?
Hebu nichekie aisee....mi naogopa kuwasha redio yangu..
Aisee kale kameeting na chairman mwenyewe wa ISC kangekuwa leo, ingekuwa dabo rod sana, tena ile yenyewe ya toa lami weka lami
ha ha ha!mkuu mimi nimeshaitoa kabisa redio kwenye tukutuku.....citaki tena mambo ya ajabu mimiBado yuko bar mpya....
Hivi radio zetu zimeacha kutaja Dovutwa Dovutwa kura 12 asilimia 0.04?
Hebu nichekie aisee....mi naogopa kuwasha redio yangu ..
umesahau, alisema we DOVUTWA lete KUGA hapa!
na hiyo yote ndo inafanya asilimia MIA!
,...am watching......kuna agenda moja ya dharura inamhusu ASPRIN manke TFDA wanataka kuitoa kwenye 'mzunguko'
,...am watching......kuna agenda moja ya dharura inamhusu ASPRIN manke TFDA wanataka kuitoa kwenye 'mzunguko'
,...am watching......kuna agenda moja ya dharura inamhusu ASPRIN manke TFDA wanataka kuitoa kwenye 'mzunguko'
Cheaman kama tukivyokuahidi, watoto wameshajipanga kuanzia kibamba kusubiri ujio wako huku wakiwa wanaonyesha alama ya 😛eace:....aidha kwa wale wenye ulemavu wa kutokuwa na kidole cha shahada, tumewaambia wasikupungie kabisa