Wiki ya 41 sasa mtoto hajazaliwa

Atajifungua tu tena salama kabisa Mungu Mkubwa, Me mwenyew ilishatokea hadi nika hisi kuna jambo baya lakini wapi.
 
Binafsi nilipitiliza hadi 42 weeks na nilijifungua normal.
Akazane mazoezi sana. klinik ya mwisho niliambiwa placenta inanyauka so opp nifanyiwe.ilikuwa ijumaa dr akasema niwahi j3 aniopp but j2 nilijifungua salama.
 
Hapo anywe chai yenye tangawizi nyingi pia mazoezi ni muhimu sana hata kama ndani ya chumba atembetembee ndani tu kupasha mwili
 
Daaaaah naona kama JF inakua ni zaidi ya mapindi ya Chuo hivi maana nimepata concepts hadi nimefarijika na nimekua normal kabisa .....

Asanteni sana wadau niwaahidi kuwa ntaleta mrejesho humu mungu akisaidia mke wangu kujifungua
karibu tena
 
Relax bro kondoo anakuja huyo anakubeep.Hapo unapoishi kama kuna kigongo (kimlima) mtembeze huyo mama kwa miguu apandishe taratibu (zoezi ) akitoka huko utakuja kunijibu hapa.Mungu ampe nguvu mke wako ajifungue salama.
 
Relax bro kondoo anakuja huyo anakubeep.Hapo unapoishi kama kuna kigongo (kimlima) mtembeze huyo mama kwa miguu apandishe taratibu (zoezi ) akitoka huko utakuja kunijibu hapa.Mungu ampe nguvu mke wako ajifungue salama.
Ameni....daaaah mkuu umetumia lugha ambayo imenifanya nikumbuke mwalimu wangu wa geography darasa la 6 alipenda sana kutumia neno KIGONGO[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nakuona doctor

hhaha mwenzako nikishabeba mimba huwa nakesha kwenye sites za mambo ya uzaz !yaan huwa nafatilia kila kitu !kila week najua mwanangu tumbon kadevelop hiki na hiki!
yaan hzo brackston hicks zooote nazijua nw !yaan nafuatlia toka kakiwa kaduuuchu ka embryo had naingia labor !

sema tu huwa nashindwa kucope na hiyo hali jaman !
 
Ahahahaaaaaa hongera, mie sinaga hizo mambo kabisa.
Kitu ambacho huwa nipo makini ni kuangalia mabadiliko ya hamu ya kula tuu.
 
Ahahahaaaaaa hongera, mie sinaga hizo mambo kabisa.
Kitu ambacho huwa nipo makini ni kuangalia mabadiliko ya hamu ya kula tuu.

hahahahaha we sikuwezi !mie nafatilia toka mimba ina siku 14 zile weeks wanakuelezea kbs leo mwanao yupo km punje ya njegere,leo amedevelop mikono sijui fingers mwee raha tupu ! na siku akianza kuruka wanakueleza na huwa kwel kunakuwa na some movements kiduchu nimemiss hizo moments jaman
ngoja mwaka huu nizae aisee !nipate kibebigal uwiiiiiiiii !
 
Mimba huwa ni wiki 40.
Pungufu wiki 2 au nyongeza ya wiki 2 namaanisha wiki ya 38 hadi 42.
Zaidi ya hapo ni tatizo.

Namshukuru Mungu mke wangu hujifungua wiki ya 39.... Uzazi wa pill huu
 
Mimba huwa ni wiki 40.
Pungufu wiki 2 au nyongeza ya wiki 2 namaanisha wiki ya 38 hadi 42.
Zaidi ya hapo ni tatizo.

Namshukuru Mungu mke wangu hujifungua wiki ya 39.... Uzazi wa pill huu
umenena vyema!hongera sana !
 
Habarini wadau

Mke wangu ana ujauzito na tarehe ya matarajio ilikua ni tarehe 1 lakini naona siku zinaenda tu mtoto wangu hazaliwi kazi yake ni kurukaruka tu tumboni kwa mama yake.

Je watalamu hapa shida iko wapi?
Chukua hatua wasiliana na dr bingwa wa magonjwa ya kina mama
 
Ni kweli inatokea sema miaka ya sasa ivi watu hawana subra,, mm dada yangu alijifungua week ya 43 kikubwa ni kumuona doctor kuangali km mtoto yupo ok
Kwa kitaalam hii tunaita overdue/postmaturity ukicheza unapoteza mtoto au unazaa mtoto mwenye ngoz kama ya bibi kwani yale maji ya uzazi yanakuwa yamepungua sana
 
Mrejesho kuhusu mke wangu wiki la 42


Shukrani sana ziwaendee wakuu humu z.
Mwishoni mwa wiki iliyopita nilileta Uzi wangu humu kuhusu mke kuchelewa kujifungua hadi wiki la 41 mwishoni....nilipata ushauri safi na ulionifanya moyo wangu kutulia kutoka kwa manguli wa mambo ya uzazi kupitia humu jamvini...Asanteni sana wakuu.

Lengo la Uzi nikutaka kuleta mrejesho kuwa jana mnamo majira ya saa 5 usiku mke wangu alianza kuumwa tumbo la uchungu......kidume nilifurahi sana japokuwa alikua alikua anaumwa nilijua anaumwa kwa Heri tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]fasta nikatekenya kamkweche kangu (corrola)fasta hospital nakulazwaa hatimaye asubuhii amejifungua salama kwa njia ya kawaida...mtoto wa kike mungu ashukuriwe sana Yani.

Am a new dady in town now.Shukrani ziwafikie wanajamvi wote.

Nimeplani kumpa jina aitwe LETRISHA .. .....Sio mbaya kama mtanisaidia pia kumchagulia jina zuri....

NB:jina liwe la kicute maana mtoto mwenyewe ni mcute hatareee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Vizuriii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…