Muda unayoyoma wiki ya lala salama ndiyo hiyo tunaianza.
Kwa hakika hatima yetu kama taifa ni dhahiri kabisa kuwa ipo mikononi mwa tume zetu za uchaguzi yaani NEC na ZEC.
Maamuzi sahihi ya NEC na ZEC yataondoa joto lote lililopo na vyombo vya dola.
Kwa umuhimu sana wa salama yetu tume mnayo sababu kabisa ya kufanya lolote kuhakikisha tunapita salama kwenye uchaguzi huu sasa na hata baada ya uchaguzi.
Kuendesha zoezi la upigaji kura, kuhesabu kura na kutangaza matokeo kwa uwazi kama inavyokubalika na wadau wote kutatunasua na kutupa raha watanzania wote.
Kwa nini tume zisione umuhimu wa kuwa sikiliza au kuwashawishi wadau kwa hoja?
Eeh mola wetu ukawajalie viongozi wa tume zetu hekima yako ya kuona umuhimu wa mawazo jumuishi ili kutupa uchaguzi ulio huru na wa haki ambako dhahiri ndiyo inayozaa salama yetu.
Salama yetu kama taifa ni muhimu mno kuliko mtu yeyote mmoja au kundi lolote lenye maslahi au mtizamo binafsi.
Tuungane kuwapa tume mawazo ya nini kama wapiga kura tutashawishika kuwa haki imetendeka.
Kwa hakika hatima yetu kama taifa ni dhahiri kabisa kuwa ipo mikononi mwa tume zetu za uchaguzi yaani NEC na ZEC.
Maamuzi sahihi ya NEC na ZEC yataondoa joto lote lililopo na vyombo vya dola.
Kwa umuhimu sana wa salama yetu tume mnayo sababu kabisa ya kufanya lolote kuhakikisha tunapita salama kwenye uchaguzi huu sasa na hata baada ya uchaguzi.
Kuendesha zoezi la upigaji kura, kuhesabu kura na kutangaza matokeo kwa uwazi kama inavyokubalika na wadau wote kutatunasua na kutupa raha watanzania wote.
Kwa nini tume zisione umuhimu wa kuwa sikiliza au kuwashawishi wadau kwa hoja?
Eeh mola wetu ukawajalie viongozi wa tume zetu hekima yako ya kuona umuhimu wa mawazo jumuishi ili kutupa uchaguzi ulio huru na wa haki ambako dhahiri ndiyo inayozaa salama yetu.
Salama yetu kama taifa ni muhimu mno kuliko mtu yeyote mmoja au kundi lolote lenye maslahi au mtizamo binafsi.
Tuungane kuwapa tume mawazo ya nini kama wapiga kura tutashawishika kuwa haki imetendeka.