Wiki ya Maulidi: Viongozi wa BAKWATA watembelea miradi ya Maendeleo ya Serikali

Wiki ya Maulidi: Viongozi wa BAKWATA watembelea miradi ya Maendeleo ya Serikali

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Viongozi wa BAKWATA walioko Jijini Mwanza ikiwa ni katika wiki ya maulidi ambayo kitaifa sikukuu itafanyika jijini humo wamempongeza na kumshukuru Rais Magufuli kwa maendeleo anayotuletea.

Viongozi hao wamekaguwa miradi mbalimbali inayotekelezwa na serikali ikiwemo ujenzi wa meli mpya za kisasa. Shehe wa mkoa amesoma Dua maalumu la kumuombea afya njema na maisha marefu mh Rais Magufuli ili aendelee kutujazia baraka njema za maendeleo katika kila kona ya nchi yetu.

Source Star tv habari

Maendeleo hayana vyama!
 
Hawa jamaa sijui BAKWATA wanatia uchungu sana hivi wao washafanya Walau ziara ya kukagua mali zao Kama misikiti hospital shule na vyuo au hata chochote walichonacho?

Wameingia kwenye siasa nakuacha msingi ya dini yao BAKWATA ina miaka mingi lakini hawana hata hospital kubwa kama makanisa mengine mfano RC Anglican na Lutheran hawana chuo kikuu chao ikumbukwe MUM haipo chini ya BAKWATA

Hawa jamaa ni watu wakuonewa huruma Sana.
 
Hawa jamaa sijui bakwata wanatia uchungu Sana hivi wao washafanya Walau ziara ya kukagua Mali zao Kama misikiti hospital shule na vyuo au hata chochote walichonacho wwameingia kwenye siasa nakuacha msingi ya dini yao bakwata ina miaka mingi lakn hawana hata hospital kubwa Kama makanisa mengine mfano rc Anglican na Lutheran hawana chuo kikuu chao Ikumbukwe MUM haipo chin ya bakwata

Hawa jamaa ni watu wakuonewa huruma Sana
Unaelewa maana ya BAKWATA Bwashee?
 
Hivi kwanza Maulidi Lini, Nikatafute Kanzu yangu ilipo
 
Magifufuli anajua sana kula vipofu
 
Maulidi na kutembelea miradi inahusiana nini? Jamani dini bakwata mbona mnatia aibu
 
Back
Top Bottom