Hujui yanga ni last born wa taifaNauliza tu unafanyikaje kwenye uwanja uliofungwa maana TFF imesema ngao ya jamii itafanyika Tanga sababu uwanja umefungwa kwa marekebisho
Mtajua hamjui mwaka huuNauliza tu unafanyikaje kwenye uwanja uliofungwa maana TFF imesema ngao ya jamii itafanyika Tanga sababu uwanja umefungwa kwa marekebisho
Hakujawahi kuwa na wenye nchi ombaomba. Nyinyi ni klabu kongwe kubwa jinga.We mbumbumbu hujui kama Yanga sc ndio wenyenchi?
kama Ina huo ukubwa inaendaje kucheza Tanga kwenye uwanja mbovuMleta mada una matatizo, Yanga ni kubwa kuliko chama tawala. Wakati CCM inaundwa Hayati alitaka Yanga ibadili rangi ili njano na kijano iwe ni CCM, Yanga ikamwambia Hayati, mmeikuta Yanga ikiwa hivi, kama kubadili rangi badilini ninyi, mkishindwa tumieni hizo hizo njano na kijani.
Elewa neno WANANCHI kwa YANGA hapa Tanzania.