William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
Upepo ulikuwa kwao wiki iliyopita na kuonesha mvuto wao ulikuwa mkubwa sana kitaifa. Ila ni makosa madogo yanayoweza kupunguza kura zao na wakiepuka tu wanaweza kuongeza kura sana na hata kuishangaza dunia.
1. Hofu inayojengwa na CCM dhidi ya CHADEMA
Hofu hizo sio za kupuuza na kiutafiti ukiuliza Wana CCM wengi wapo huko kwaajili ya hofu hiyo.
A. Hofu kuwa wanatumiwa na wazungu ili wapore rasilimali.
Hoja hii nadhani inatokana na mgombea wao kukaa nje kwa muda mrefu. Hoja hii haijajibiwa kabisa na mgombea mwenyewe Ila watu wengine kabisa kupitia mitandao ya kijamii.
Wapo walifananisha matibabu aliyoyapata Nyerere hadi kifo Uingereza. Alipofata chakula cha msaada wMarekani 1984 (wakati wa njaa ali) na hotuba zake za kudai Uhuru UNO.
B. Hofu kuwa hawawezi kulinda Amani ya nchi
Kuitoa hofu dhidi yao kunaweza kuwaongezea mpaka asilimia 5-10 ya kura. UCHAGUZI huu hata asilimia moja ni muhimu Sana. Je, vipi wataitoa hofu hii ni kazi ngumu sana lakini lazma waifanye ili waongeze hata asilimia 3-5 za kura.
Sio busara lakini lazma watengeneze hofu kubwa dhidi ya CCM awamu hii ya Pili. Lazima waoneshe hali inaweza kuwa mbaya mara hata kumi ya ilivyo Sasa. Hiyo inaweza kuwapunguzia CCM Hadi 5% ya kura, Kwa mifano dhahiri na ushawishi mkubwa.
Ndicho anachokifanya membe. Anasema nchi haina hela na Serikali imekopa Sana mpaka haikopesheki tena. Miradi mikubwa haitakamilika yote na itatelekezwa na ata Ile midogo kama ujenzi wa soko na stendi Mwanza haijakamilika.
Ila labda angewaambia watumishi wanapoelekea sio kukosa nyongeza za mshahara na kuchelewa Pensheni tu Bali hata mshahara wenyewe wanaweza wasiupate.
Pili kuweka mikakati wa kuwaokoa wapiga kura waliokata tamaa. Wapo wapiga kura wengi Sana huwa na manung'uniko mengi na wamekata tamaa kabisa kupiga kura.
Huona siasa NI Uongo na ahadi zote huwa NI hewa. Kwa utafiti mdogo niliufanya mwaka huu karibu 35 asilimia uwenda wasipige kura kwa sababu tofauti. Na Kati yao Hadi 20% wakiwekewa mkakati wanaweza kupiga kura. Hawa wasiopiga kura NI hazina kubwa ya upinzani.
Hawa wakishawishiwa na kuimizwa, wanachama na washabiki kuimizana kwenda tu kupiga kura bali na kila mwenye Nia kupitia watu wawili na kuhakikisha kupitiana na kwenda kwa makundi kupiga kura. Kati ya hizo asilimia 20, 15 wananafasi kubwa ya kupigia upinzani. Na hivyo kujiongezea Hadi 10% asilimia zaidi ya CCM. Na kuwashawishi sio Kazi rahisi.
Na mwisho kuiua hoja ya upinzani upo kwaajili ya kupiga kelele tu na sio kuongoza.
Chadema wasipofanyia Kazi hivyo vitu Muhimu basi wasije wakashangaa matokeo vituoni yakawa tofauti kabisa na matarajio yao.
1. Hofu inayojengwa na CCM dhidi ya CHADEMA
Hofu hizo sio za kupuuza na kiutafiti ukiuliza Wana CCM wengi wapo huko kwaajili ya hofu hiyo.
A. Hofu kuwa wanatumiwa na wazungu ili wapore rasilimali.
Hoja hii nadhani inatokana na mgombea wao kukaa nje kwa muda mrefu. Hoja hii haijajibiwa kabisa na mgombea mwenyewe Ila watu wengine kabisa kupitia mitandao ya kijamii.
Wapo walifananisha matibabu aliyoyapata Nyerere hadi kifo Uingereza. Alipofata chakula cha msaada wMarekani 1984 (wakati wa njaa ali) na hotuba zake za kudai Uhuru UNO.
B. Hofu kuwa hawawezi kulinda Amani ya nchi
Kuitoa hofu dhidi yao kunaweza kuwaongezea mpaka asilimia 5-10 ya kura. UCHAGUZI huu hata asilimia moja ni muhimu Sana. Je, vipi wataitoa hofu hii ni kazi ngumu sana lakini lazma waifanye ili waongeze hata asilimia 3-5 za kura.
Sio busara lakini lazma watengeneze hofu kubwa dhidi ya CCM awamu hii ya Pili. Lazima waoneshe hali inaweza kuwa mbaya mara hata kumi ya ilivyo Sasa. Hiyo inaweza kuwapunguzia CCM Hadi 5% ya kura, Kwa mifano dhahiri na ushawishi mkubwa.
Ndicho anachokifanya membe. Anasema nchi haina hela na Serikali imekopa Sana mpaka haikopesheki tena. Miradi mikubwa haitakamilika yote na itatelekezwa na ata Ile midogo kama ujenzi wa soko na stendi Mwanza haijakamilika.
Ila labda angewaambia watumishi wanapoelekea sio kukosa nyongeza za mshahara na kuchelewa Pensheni tu Bali hata mshahara wenyewe wanaweza wasiupate.
Pili kuweka mikakati wa kuwaokoa wapiga kura waliokata tamaa. Wapo wapiga kura wengi Sana huwa na manung'uniko mengi na wamekata tamaa kabisa kupiga kura.
Huona siasa NI Uongo na ahadi zote huwa NI hewa. Kwa utafiti mdogo niliufanya mwaka huu karibu 35 asilimia uwenda wasipige kura kwa sababu tofauti. Na Kati yao Hadi 20% wakiwekewa mkakati wanaweza kupiga kura. Hawa wasiopiga kura NI hazina kubwa ya upinzani.
Hawa wakishawishiwa na kuimizwa, wanachama na washabiki kuimizana kwenda tu kupiga kura bali na kila mwenye Nia kupitia watu wawili na kuhakikisha kupitiana na kwenda kwa makundi kupiga kura. Kati ya hizo asilimia 20, 15 wananafasi kubwa ya kupigia upinzani. Na hivyo kujiongezea Hadi 10% asilimia zaidi ya CCM. Na kuwashawishi sio Kazi rahisi.
Na mwisho kuiua hoja ya upinzani upo kwaajili ya kupiga kelele tu na sio kuongoza.
Chadema wasipofanyia Kazi hivyo vitu Muhimu basi wasije wakashangaa matokeo vituoni yakawa tofauti kabisa na matarajio yao.