kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,846
- 20,319
Habari waungwana wa jukwaa hili
Nimeanza kukohoa ni wiki ya nne hii
Mwanzo hali ilikua mbaya sana nilikua nakohoa mpaka nakosa usingizi hususani wakati wa usiku
Nilikua nakohoa sana mpaka koo likawa linaniuma nilimuona daktari nikamweleza akanipa dawa nikapata nafuu kidogo nikawa at least limepungua nikawa napata usingizi
Sasa hivi nimeanza kukohoa tena hususan jioni ikiingia
Nimejaribu kutumia mpaka dawa za minyoo lakini sioni change yoyote
Naombeni mnishauri wakuu
Nimeanza kukohoa ni wiki ya nne hii
Mwanzo hali ilikua mbaya sana nilikua nakohoa mpaka nakosa usingizi hususani wakati wa usiku
Nilikua nakohoa sana mpaka koo likawa linaniuma nilimuona daktari nikamweleza akanipa dawa nikapata nafuu kidogo nikawa at least limepungua nikawa napata usingizi
Sasa hivi nimeanza kukohoa tena hususan jioni ikiingia
Nimejaribu kutumia mpaka dawa za minyoo lakini sioni change yoyote
Naombeni mnishauri wakuu