thanks mkuu nitaendaPneumonia, tb , minyoo inayofanya heart lung migration..
All in all kamuone dr aliye karibu na wewe ili akuchukue history vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kunywa dawa wewe, jiulize kwa nini unakohoa, mimi niliisha kohoa kama miezi miwili n a zaidi mtu anaweza dhani ni TB, kumbe mimi nilikuwa nabomoa banda la bati yenye kutu na vumbi ndo nikapata hicho kifua. nilikohoa balaa.Habari waungwana wa jukwaa hili
Nimeanza kukohoa ni wiki ya nne hii
Mwanzo hali ilikua mbaya sana nilikua nakohoa mpaka nakosa usingizi hususani wakati wa usiku
Nilikua nakohoa sana mpaka koo likawa linaniuma nilimuona daktari nikamweleza akanipa dawa nikapata nafuu kidogo nikawa at least limepungua nikawa napata usingizi
Sasa hivi nimeanza kukohoa tena hususan jioni ikiingia
Nimejaribu kutumia mpaka dawa za minyoo lakini sioni change yoyote
Naombeni mnishauri wakuu
rudi hospitali na omba upime tb usiende dispensari nends hospitali mkuuHabari waungwana wa jukwaa hili
Nimeanza kukohoa ni wiki ya nne hii
Mwanzo hali ilikua mbaya sana nilikua nakohoa mpaka nakosa usingizi hususani wakati wa usiku
Nilikua nakohoa sana mpaka koo likawa linaniuma nilimuona daktari nikamweleza akanipa dawa nikapata nafuu kidogo nikawa at least limepungua nikawa napata usingizi
Sasa hivi nimeanza kukohoa tena hususan jioni ikiingia
Nimejaribu kutumia mpaka dawa za minyoo lakini sioni change yoyote
Naombeni mnishauri wakuu