Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,147
- 2,008
Wiki ya Unyonyeshaji Duniani hufanyika katika wiki ya kwanza ya Agosti kila mwaka, (Agosti 1-7)
Kaulimbiu ya mwaka 2024 ni Kuziba Pengo: Msaada wa Unyonyeshaji kwa Wote, ikilenga kuwaandimisha Wakina Mama wanaonyonyesha, huku ikionyesha jinsi familia, jamii, na wahudumu wa afya wanavyoweza kuwasaidia katika kurahisisha Mchakato wa Kunyonyesha
Kwa mujibu wa Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini ya Mwaka 2004 na kanuni zake za Mwaka 2017, Mwanamke aliyejifungua ana haki ya kupewa likizo ya uzazi yenye malipo ya siku 84 akijifungua mtoto mmoja, na siku 100 kama atajifungua watoto mapacha
Pia akirudi kazini ana haki ya kupata ruhusa ya masaa mawili kwa siku kwa ajili ya kumnyonyesha mtoto. Ruhusa hiyo ya masaa mawili atakubaliana na mwajiri muda unaomfaa
.......
World Breastfeeding Week is held in the first week of August every year, supported by WHO, UNICEF and many Ministries of Health and civil society partners.
The theme for 2024 is Closing the gap: Breastfeeding support for all.
The campaign will celebrate breastfeeding mums in all their diversity, throughout their breastfeeding journeys, while showcasing the ways families, societies, communities and health workers can have the back of every breastfeeding mum.
Source: WHO
Kaulimbiu ya mwaka 2024 ni Kuziba Pengo: Msaada wa Unyonyeshaji kwa Wote, ikilenga kuwaandimisha Wakina Mama wanaonyonyesha, huku ikionyesha jinsi familia, jamii, na wahudumu wa afya wanavyoweza kuwasaidia katika kurahisisha Mchakato wa Kunyonyesha
Kwa mujibu wa Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini ya Mwaka 2004 na kanuni zake za Mwaka 2017, Mwanamke aliyejifungua ana haki ya kupewa likizo ya uzazi yenye malipo ya siku 84 akijifungua mtoto mmoja, na siku 100 kama atajifungua watoto mapacha
Pia akirudi kazini ana haki ya kupata ruhusa ya masaa mawili kwa siku kwa ajili ya kumnyonyesha mtoto. Ruhusa hiyo ya masaa mawili atakubaliana na mwajiri muda unaomfaa
.......
World Breastfeeding Week is held in the first week of August every year, supported by WHO, UNICEF and many Ministries of Health and civil society partners.
The theme for 2024 is Closing the gap: Breastfeeding support for all.
The campaign will celebrate breastfeeding mums in all their diversity, throughout their breastfeeding journeys, while showcasing the ways families, societies, communities and health workers can have the back of every breastfeeding mum.
Source: WHO