Wikiend hii nakuja bongo

we kama mgeni ukishashuka ubungo ulizia sisimizi bar, ukifika kamua weee ukichoka kalale kesho yake urudi kazini

Mkuu sisimizi mmiliki wake ameokoka siku hizi pale ni ramba ramba tu tamu tamu na vikao vya harusi kwa wingiiii
 
huyu mgeni njoo wenyeji wapone sijaona hata mmoja anayesema atamkaribisha kwake mnaogopa 🙂

Mhhh watu wanaogopwa kumegewa ooh.
Mkuu karibu naweza kukupeleka pale Ambiance aka Corner Bar-Sinza Africa sana au twende zetu Meeda napo shwari na macho inaburudika mida flani kama vp Mango Garden lakini pale si pazuri kwa misupu.
 
LOL kumbe hapo inaonyesha jinsi gani binadamu hatuaminiki 😉
 
Kwenye kiti moto wachovu mi niliagiza nikaletewa kitimoto imegeuka kuwa biskuti ngumu balaaa.
labda siku hizi wamekuwa wachovu!ila enzi zile tukiwa pale foe acha kabisa ilikuwa ni kushuka kidogo tu kwa ajili ya kwenda kitimoto cha sisimizi na ice kwa pembeni jaamani acha tu
 
labda siku hizi wamekuwa wachovu!ila enzi zile tukiwa pale foe acha kabisa ilikuwa ni kushuka kidogo tu kwa ajili ya kwenda kitimoto cha sisimizi na ice kwa pembeni jaamani acha tu

Siku hizi ukipita papo kimyaaaaaa jamaa kafulia ameamua kurudi kwa Mungu. Mama J umewahi kula kiti moto ya kuchoma wewe? Ukila hiyo hii ya kukaanga na mafuta utasahau na huta kula tena.
 
dah......uende pale Simba Kapakatwa...pale karibu na makumbusho...opposite usalama wa Taifa...kuna choma,na rosti kwenda mbele
 
labda siku hizi wamekuwa wachovu!ila enzi zile tukiwa pale foe acha kabisa ilikuwa ni kushuka kidogo tu kwa ajili ya kwenda kitimoto cha sisimizi na ice kwa pembeni jaamani acha tu

Umenikumbusha mbali aisee. Enzi hizo bana ilikua kaazi kwelikweli. Kutoka FOE mpaka sisimizi pale unaua winga tu geti maji then njiapanda chuo unavuka pale ushafika. Umenikumbusha mbali sana mama faiv jeiz. Ulikua MECHE/Telecom/Civil/CPE/ au? Big up for enlivening my memori.
 
CPE mkuu FOE yaani fidel akiniambia sisimizi wamefulia hata siamini maana nakumbuka nikiwa na baba 5J's yeye alikuwa MECHE.Tulikuwa tunashuka tu hapo ni good memories kwa kweli acha kabisa.
 
Siku hizi ukipita papo kimyaaaaaa jamaa kafulia ameamua kurudi kwa Mungu. Mama J umewahi kula kiti moto ya kuchoma wewe? Ukila hiyo hii ya kukaanga na mafuta utasahau na huta kula tena.
FIDEL sijawahi kula ya kuchoma niambie bongo inapatikana wapi siku moja nikaionje?
 
FIDEL sijawahi kula ya kuchoma niambie bongo inapatikana wapi siku moja nikaionje?

Nina sehemu 2 lazima week end nizitembelee kwenye ya kuchoma.
Lazima twende wote nikupeleke nikakukabidhishe siku ukienda unapewa nyama safi.
 
Nina sehemu 2 lazima week end nizitembelee kwenye ya kuchoma.
Lazima twende wote nikupeleke nikakukabidhishe siku ukienda unapewa nyama safi.
Nielekeze bwana ili one day niende
 
CPE mkuu FOE yaani fidel akiniambia sisimizi wamefulia hata siamini maana nakumbuka nikiwa na baba 5J's yeye alikuwa MECHE.Tulikuwa tunashuka tu hapo ni good memories kwa kweli acha kabisa.

Pale mlikua jirani sana na Bank yetu ya makabwera(NMB). Mnapiga shule mkchoka mnakomba hela mnashuka zenu sisimiz. Inawezekana tulikua tunagongana huko au kwenye misosi yetu ile kwa bwanshee: chapati/wali roast na matunda kwa yule jamaa.
 
Pale mlikua jirani sana na Bank yetu ya makabwera(NMB). Mnapiga shule mkchoka mnakomba hela mnashuka zenu sisimiz. Inawezekana tulikua tunagongana huko au kwenye misosi yetu ile kwa bwanshee: chapati/wali roast na matunda kwa yule jamaa.
mkuu umemade my wekend!Umenikumbusha bwashee jamani acha tu bwana ile asubuhi mchemsho au mtori au ile supu utumbo au kuku jamani zimebakia kuwa enzi zile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…