St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,956
- 5,149
- Thread starter
-
- #21
paka jimmy na paka mweusi achen utukunyuku wenu mi stak uchokoz
asi mnikonyeze na nynyi.najua mna makengeza lakin asi mna mikia?BASI NIKONYEZENI KWA KUTUMIA MIKIA!!!!!!1
kaukau leo na maziwa fresh baba yenye tangawizi mana nina kikohoz kiduuuuuuchu!!!
mchana mlenda km vp njoo ujilambe!!!!!!
UNAJUA KULA MLENDA WEWE?
wa kigogo na wa bamia....?????
Unataleza bila shida kooni si unajua mimi msukuma,napenda kweli mlenda ila usiwe wa kigogo.
Mkuu poa kabisa umeamka salama?
basi jiraaaaaambe babu wakat mi nakukonyeza asi unajua kila mtu na starehe zake?we kujilamba mi kukonyeza so ndo ivo.....!!!!!!!!Paka hawezi kukonyeza akitamani huwa anajiramba tu.Kwa mkia subiri jioni.
basi km ivi pooooaaaa
ntaupka babu na ntaweka na vmaharage kdg na liugali iloooooooooo gumuuuuuuu!!!!!!!!
Mi nipo poa kamanda wangu!weekend ndo hiyooooo tukachakachue...............
kaukau leo na maziwa fresh baba yenye tangawizi mana nina kikohoz kiduuuuuuchu!!!
mchana mlenda km vp njoo ujilambe!!!!!!
UNAJUA KULA MLENDA WEWE?
wa kigogo na wa bamia....?????
Leo ama zao ama zetu lazima kieleweke.
Kamanda kwa heshima na taadhima naomba uniteulie humu JF binti wa kwenda nae pale Travertine kesho nasikia Wana wa Nakshi Naksi (JAHAZI) watakuwa pande hizo, ni kuchakachua kwenda mbele!!!!!!!!!
nionge MKIA..we asi paka?m sure mkia upoHapo umepatia ,sijui nikuhonge nini leo hii?
usisahau mabumunda bidada!!!!!!
Mkuu nashukuru kwa kunitunuku heshima hiyo nami kwa heshima na taadhima ninakuteulia da Sophy ila akikuficha usinilaumu mimi.
dah wewe umenikumbusha mbaaaaaaaaali sana kuna wakati nilenda peramiho na lilambo kwa bib bas we mkienda kansani mnanunuliwa mabumunda mataamu na nkajifunza kupika najua kupika mabumunda ya ndizi dah u tk me looooooooooong long bak thaaaaaax bacha!!!
nionge MKIA..we asi paka?m sure mkia upo
so nipe mkia i wl b okkkkkkkkkkkkkkkkkkk!!!!!
Nimepata taarifa zisizo rasmi sana kuwa Da Sophy yupo gonjwa!Nina admit kuwa chaguo lako ni zuri, hebu nichekie mbadala wake!!!!!sorry kwa usumbufu kamanda
Ndio nini mama?naona mnaklik wandugu bas ngoja niidisplay page....!!!!
mm macho yangu yana matatizo bwana yan nilikuwa bch ukooooooooooooooo na babu yenu bas katika kukuru kakaara mchanga ukaingia machon....
wknd wap ?sema bas toa venue km ni mzalendo kesho ,kwa mbowe,kwa jd,maisha?sansiro?sanaa?
mi kesho naenda kutukunyuka panapo mzalendo (usiku wa east afrika napenda swaga za ug)nkashake kila kitu vikidondoka ntaviokota bt today i hav to rest n tak time fo maself.....!!!!!
KM UKIKONYEZWA NA WEWE ASI UKONYEZE BABU AU UNA MAKENGEZA???????pole unalo ilo babu limekuganda......!!!!!!
Mikia haikonyezi, bali hugusa na kuchungulia.....!paka jimmy na paka mweusi achen utukunyuku wenu mi stak uchokoz
asi mnikonyeze na nynyi.najua mna makengeza lakin asi mna mikia?BASI NIKONYEZENI KWA KUTUMIA MIKIA!!!!!!1
Nani mwenye jicho mbili?Siyo uchokozi, ana jicho moja
Umefanya nini hadi hivyo?kaukau leo na maziwa fresh baba yenye tangawizi mana nina kikohoz kiduuuuuuchu!!!
mchana mlenda km vp njoo ujilambe!!!!!!
UNAJUA KULA MLENDA WEWE?
wa kigogo na wa bamia....?????
Basi mambo kwisha....! Na weekend ndio hiyoooooooo....!nionge MKIA..we asi paka?m sure mkia upo
so nipe mkia i wl b okkkkkkkkkkkkkkkkkkk!!!!!
mmh babu wewe peramiho,lilambo,likuyufusi,chabruma,luhuwiko siyo kwa njomba nchumari.....kumbe we Rose unatokea kule kwa jomba nchumari,,,,,,,,!!!!!!! uchimungúnye wala uchiteme!!!!!!!!
Bila samahani mkuu leo watu tuko kazini mpaka kieleweke,unamuonaje huyu anaye nibania jicho hapa kwenye PC yangu naona huyo atakufaa zaidi.
ulitaka kusemaje???????Ndio nini mama?
Mikia haikonyezi, bali hugusa na kuchungulia.....!
Nani mwenye jicho mbili?
Umefanya nini hadi hivyo?
Basi mambo kwisha....! Na weekend ndio hiyoooooooo....!