...umeenda ukweni kuchumbia rasmi,
baada ya utambulisho na wenyeji kuwapa muda 'mjisikie mpo nyumbani' , Baba mkwe anakutupia swali la papo kwa papo; ..." eti kijana, iwapo tumepata ajali majini, na uwezo wako kumuoka mtu mmoja tu, utamuokoa nani kati yangu, mama mkwe, mkeo au mwanao?"
Ingelikuwa weye ungejibu nini?
...umeenda ukweni kuchumbia rasmi,
baada ya utambulisho na wenyeji kuwapa muda 'mjisikie mpo nyumbani' , Baba mkwe anakutupia swali la papo kwa papo; ..." eti kijana, iwapo tumepata ajali majini, na uwezo wako kumuoka mtu mmoja tu, utamuokoa nani kati yangu, mama mkwe, mkeo au mwanao?"
Ingelikuwa weye ungejibu nini?
hehehe yah its possible ka mke angepewa nafasi angetoa jibu hilo....so wat does it mean wajimini???we love wake zetu more than hw they love us cz upendo wao umehamia kwa watoto??
mtoto kwanza ati,hakuna hata kufikiria.mke anaweza kujitahidi akjiokoa mwenyewe.najua hata yeye atapiga kelele,"baba nanihii muokoe mtoto".
nitamuokoa mwanangu hapo..ooppps kumbe wameulizwa madume
Jamani hamjambo humu nimeingia bila kupiga hodi
Heshima yenu ndugu
...umeenda ukweni kuchumbia rasmi,
baada ya utambulisho na wenyeji kuwapa muda 'mjisikie mpo nyumbani' , Baba mkwe anakutupia swali la papo kwa papo; ..." eti kijana, iwapo tumepata ajali majini, na uwezo wako kumuoka mtu mmoja tu, utamuokoa nani kati yangu, mama mkwe, mkeo au mwanao?"
Ingelikuwa weye ungejibu nini?