...Tulizo,..hili swali limelenga zaidi kwenye kutafuta busara ya mhusika, kulikoni kuangalia Consequences za harakati za kuokoa. Ndio maana nikasema swali hili kila mtu anaweza 'kujikaanga kivyake,' lakini madhali upo ukweli huna budi kujibu vile busara na maamuzi yatavyokuruhusu.