wikiendi ukweni!...

huyo baba mkwe lazima ana tu element twa uchawi. Ndio maswali gani hayo ya kumuuliza mgeni? Baba mkwe huyo hana adabu kabisa.
 

Duh! nimekupata vizuri sana mkuu..Yaani kutokana na mazingira busara yaweza kuzidi ukweli..hivyo kwa wale tunaojifanya tuko'practical' tunaweza kukosa mke ..

Big up mkuu.. Good lesson!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…