Hao kina lipumba na ndugai wa tag mimi ndio ninawatafuta mkuu.Sasa mbona unasema wazuri wakati wengi ni kina lipumba na ndugai
HahaaaaaUmeshiba mwenyewe 🤣
Kwa Raha zako!
Hii ni kupeana furaha tu 😀Sijaona service charge hapo, au utapewa ya msaada?
Na wakiniua natokea kama mzimuWewe na Lamo mpk wakuue 😂😂😂
Kiumbe yupi huyo wa kupeana nae furaha halaf usimlipe? Unawajua au unawasikia??Hii ni kupeana furaha tu 😀
Wanasema jali na yaishi maisha yako, muhimu hakuna mtu anayekupa ugaliKawaida kwenye ulimwengu wa fake ids hatujuani kila mtu anaongea anavyojisikia.
Jikubali mkuu, hujajiumba 😀Mimi sio pisi kali mkuu
Pisi zingine zinajua hata mapanga shaa, asije hapa kushitaki hahaha, hoo iliingia Kwa bahati mbaya kwenye chanel O😀 😀 😀 😀 kweli hawaaminiki
Au ndio watasingizia wamebakwwwKiumbe yupi huyo wa kupeana nae furaha halaf usimlipe? Unawajua au unawasikia??
Amekwambia anataka amlale?Haiombwi hivyo Mkuu.
Waambie kuna 300k kwa pisi kali. Tupige siku moja.
Sasa hiyo budget yako hakuna hata kishika mkono kwa mtoto wa watu. Uje umlale na aondoke mtupu na hangover!?
Ili wapate mpunga mrefuAu ndio watasingizia wamebakwww
Inabidi kuishi nao kwa akili, hakuna namnaIli wapate mpunga mrefu
Mbona da mau ulimponda 😂😂😂Hata siku moja huwa simu underrate au kumchukulia poa Member wa humu kama vile Maxence Melo anavyo tu heshimu Members wake.
Good thinking, kila siku wanatufundisha ila kumbe hatuishi Kwa maandikoInabidi kuishi nao kwa akili, hakuna namna
Tabia mbaya hiyo 😂Ni sahihi kabisa. Na ina raha yake..Mi ndio maana sikawii, ukikatiza vibaya nakushushia mvua heavy..tutaimbana msamaha tukionana 😂
Nilikuwa namueleza tu ukweli maana naye dishi lilikuwa limepoteza dira 😁Mbona da mau ulimponda 😂😂😂
Manyanza uongo umeanza lini?
mwantumu rekebisha shepukijiko hio uolewe achana namiandiko yawatuuTaadhari❌
Tahadhari✅
Nenda kale maishaTaadhari❌
Tahadhari✅
Hapana kwa kweli!Nenda kale maisha