Kwa hiyo mimi najua ?Yeah! Hana shida na hajui hata kukasirika mimi nikiwa na mtu mwenye hasira nitafundwa kila siku
Wewe hujui! Ni muungwana sana humu upo kwenye kundi la membaKwa hiyo mimi najua ?
Mambo da mauaLaki moja kweli yaani vinywaji vinapita hela ya pisi kali wewe huwatakii wenzio mema nyoo baki na shida zako aisee labda waje wa buza
Naona kama nimeshakupenda 😊Wewe hujui! Ni muungwana sana humu upo kwenye kundi la memba
True achana na huyu hana demu licha aupate anasumbua tu. Watu humu
Mimi nikajua tulipendana tokea zamani🤸Naona kama nimeshakupenda 😊
wewe hauna utu 😀 😀 😀 😀Laki moja kweli yaani vinywaji vinapita hela ya pisi kali wewe huwatakii wenzio mema nyoo baki na shida zako aisee labda waje wa buza
Umeona ulivyo na tatizo? 😂Nilikuwa namueleza tu ukweli maana naye dishi lilikuwa limepoteza dira 😁
Poa mpenzi niambieMambo da maua
Na hilo ndio muhimuWanasema jali na yaishi maisha yako, muhimu hakuna mtu anayekupa ugali
😁😁😁😁Umeona ulivyo na tatizo? 😂
Hata wewe nyau mkubwa unatoa hela ya manukato kwa aunty ezekiel na hurudishiwi chenji laki sikupi penzi . Ng'o baki na mishida yako ya kizee ukafie mbele kwa mbele 🤣🤣🤣wewe hauna utu 😀 😀 😀 😀
Ndio tunapendana sana , ila naona na wadau wajue tu nina vita kali sana mwashambwa na mchumba wako, wakisikia nimekufa wawajue wahusika.Mimi nikajua tulipendana tokea zamani🤸
Salama tu kipenzi changu maua , leo shem katoka tena nije?Poa mpenzi niambie
Mwashambwa yupo busy na Ccm, mchumba yupo busy na Mishangazi muda wakukimbizana na wewe hawanaNdio tunapendana sana , ila naona na wadau wajue tu nina vita kali sana mwashambwa na mchumba wako, wakisikia nimekufa wawajue wahusika.
Hayupo atarudi mwezi wa saba ndio sintaonekana humu tena na mbwa mkali sana nilipoSalama tu kipenzi changu maua , leo shem katoka tena nije?
Utakua unatoka tu ata kwa njee ya geti tu , naingiza kichwa tu .Hayupo atarudi mwezi wa saba ndio sintaonekana humu tena na mbwa mkali sana nilipo
😊 is e mata of taim tu apo.Mwashambwa yupo busy na Ccm, mchumba yupo busy na Mishangazi muda wakukimbizana na wewe hawana