UMASKINI HAPANA
Senior Member
- Jan 3, 2017
- 105
- 47
ikawaje baba endeleaBashite alimpigia mkuu simu akaweka loud speaker.....
Langley wajipange upya hii ndiyo impact ya information age the warefare is unpredictable..Wikileaks imelishtua shirika la ujasusi la Amerika CIA baada ya taarifa za siri za shirika hilo KUTOLEWA HADHARANI.
Habari hizo zinasema kuwa MAELFU ya CODES ambazo CIA walikuwa wakituzimia kudukua, Smart TV za aina mbalimbali hasa
zile za
SAMSUNG,
Simu za kupangusa- Androids,
Google,
Iphone na
Microsoft Windows ni miongoni mwa zile ambazo zilikuwa ni MLENGWA mkuu wa CIA. Miongoni mwa zilizoibiwa ni za
Hacking systems,Trojans, Viruses, -Virusi na other WEAPONIZED Malware.
Moja ya Program waliokuwa wakiitumia iitwayo WEEPING ANGEL, imechukuliwa. HOFU kuu sasa ni kuwa program hiyo pia inaweza kuwa mikononi mwa MAJASUSI wa nchi zingine.
Hii imewapa CIA mzigo mzito sana katika kazi zao. Mwaka 2016 CIA inasemekana walitumia CODES nyingi zaidi kuliko zinazotumika katika Facebook kulingana na ripoti ya Wikileaks.
Wikileaks imetoboa siri kuwa CIA ilitumia mbinu za kudukua watu katika TV zao na SIMU zao za MKONONI.
Katika moja ya mbinu hizo SIMU ama TV ingejifanya IMEZIMA KIFEKI "FAKE OFF mode'. Mwenye Tv ama simu yake angeona imejizima na kumbe iko ON na KUREKODI maongezi yake ya
CHUMBANI,
OFISINI,
MIKUTANO NYETI ya KIUSALAMA nk.
na kutuma kupitia INTERNET mpaka kuliko na server ya SIRI ya CIA {Covert Server}
Pamoja na hayo CIA walikuwa na uwezo wa kuingilia
WEB SERVERS,
COMPUTERS,
SMARTPHONES,
TVs na KUZIGEUZA kuwa MIKROFONI yaani chombo cha kusikilizia mambo bila mmiliki KUJUA.
Wikileaks inasema.
CIA- Center for Cyber Intelligence ilipoteza UWEZO wake wa SILAHA zake za ku HACK na BADALA yake GURUPU la mtandao wa WATU wa WIKILEAKS ndo WANAZITUMIA mbinu HIZO HIZO katika KUWADUKUA CIA.
Inasemekana tangu ripoti hiyo itoke JUMANNE wiki hii, CIA nzima IMEHAHA, HAPAKALIKI. Kila mmoja ANAMSHUKU MWENZAKE!
Kutokana na hilo FBI wameanza UCHUNGUZI mkali kubaini ni NANI MIONGONI mwa wafanya kazi na WATUNZA siri wa CIA wanashirikiana na Wikileaks katika KUVUJA siri hizo nyeti zilizokuwa ZIKIWASAIDIA sana CIA kufanya ESPIONAGE bila shida.Na sasa inabidi kubadili CODES kila mara na INAWAWIA VIGUMU.
Sasa kila mtu ni MSHUKIWA mpaka watakapompata mhusika.
Hasa ikizingatiwa kuwa baada ya Edward Snowden kutoroka walifikiri wamemaliza kumbe KUNA WENGINE WENGI ndani ya shirika hilo ambao bado wanatoa siri.
Chanzo: Wikileaks
Hatuna jinsi bali ni kuvitumia kwa njia salama au tuache...Kwa maana hiyo vifaa vyote vya electronics ni hatari kwa usalama wetu
Kweli ndiyo maana PhD, professors kwa nchi zetu wanakimbilia siasa ndiyo uone we are running the brain wash education...Raisi wa Marekani Hutumia simu ambayo haiko connected na Internet, Yani haiwezi peruzi Mtandaoni, Kiuhalisia electronics Device almost nyingi sio safe Usa hupandikiza Chip humu wakati wa manufacturer Kwa kuangalia tu kifaa hiki kitatumiwa na nani na tunapaswa kujua anafanya na Kuishi vipi, Marekani na mataifa endelevu ni Yana siri kubwa mno mno haswa linapokuja swala la Elimu namiiini hata hii elimu yetu tunayoisoma vyuoni ni outdated kabisaa na yeye alitumia Miaka mingi nyuma, Advance Tech iko hiden mataifa kama Japan huamka kila uchao na kufanya innovation sisi tumelala na kungangania Old knowledge yani basic tuu, Elimu Elimu Elimu Siasa ni ya kijinga na yakuweka kando kabisa, We need intellectuals, mzungu anametupa mitaala iliyopitwa na muda kuzidi kututawala ni Muda wa kuwa serious mno mno na Technology, naamini hata mkulu wa Magogoni Anadukuliwa tu, Leo Taifa fulani linatoa msaada wa computer za kutumika bungeni au katika ofisi za serikali na sisi tunaona poa tu hio ni mbaya mno mno kiusalama, Secret Service wamemleta Obama Na kupekua kila Angle ya ikulu Freely.
Si vyote ,hata hivyo kuwa makini ni jambo la busara.Kwa maana hiyo vifaa vyote vya electronics ni hatari kwa usalama wetu
Kwa maana hiyo vifaa vyote vya electronics ni hatari kwa usalama wetu
Hata mchina kwa HUAWEI ni vilevile,hatuna pakuponea.Raisi wa Marekani Hutumia simu ambayo haiko connected na Internet, Yani haiwezi peruzi Mtandaoni, Kiuhalisia electronics Device almost nyingi sio safe Usa hupandikiza Chip humu wakati wa manufacturer Kwa kuangalia tu kifaa hiki kitatumiwa na nani na tunapaswa kujua anafanya na Kuishi vipi, Marekani na mataifa endelevu ni Yana siri kubwa mno mno haswa linapokuja swala la Elimu namiiini hata hii elimu yetu tunayoisoma vyuoni ni outdated kabisaa na yeye alitumia Miaka mingi nyuma, Advance Tech iko hiden mataifa kama Japan huamka kila uchao na kufanya innovation sisi tumelala na kungangania Old knowledge yani basic tuu, Elimu Elimu Elimu Siasa ni ya kijinga na yakuweka kando kabisa, We need intellectuals, mzungu anametupa mitaala iliyopitwa na muda kuzidi kututawala ni Muda wa kuwa serious mno mno na Technology, naamini hata mkulu wa Magogoni Anadukuliwa tu, Leo Taifa fulani linatoa msaada wa computer za kutumika bungeni au katika ofisi za serikali na sisi tunaona poa tu hio ni mbaya mno mno kiusalama, Secret Service wamemleta Obama Na kupekua kila Angle ya ikulu Freely.
Mkuu KGB ilishakufa zamaaani maana ilikuwa ni ya Muungano wa Kisovieti! Baada ya hayo kila nchi na yake. Kwa sasa nchi ya Urusi waliibadilisha na kuiita FSB.Hilo linajulikana hata KGB au Ml6 kuna majajusi pia wa mataifa mengine ndo maana hawa watu wanajuana in-out.