BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Umoja wa Mataifa umesema kasi ya usambaaji Ugonjwa huo imekuwa mara 3 zaidi ndani miezi miwili ambapo idadi ya watu waliofariki hadi sasa ni 117.
Kati ya Agosti na Septemba 2022 maambukizi yameongezeka kutoka watu 1,000 hadi 4,200 na chanzo ikiwa ni Maji Machafu na Chakula huku nchi ikihitaji msaada wa Tsh. Bilioni 30.3 kukabili janga hilo.
Takwimu kutoka kwa Shirika la Afya Duniani zinaonesha mlipuko huu ni mbaya zaidi kuwahi kutokea kote duniani huku wataalamu wakionya hali itakuwa mbaya zaidi msimu wa mvua za Novemba ukianza.
=========================
Cases of cholera in Malawi have more than tripled in the last two months as authorities struggle to contain an outbreak that has killed more than 117 people so far.
The UN says that cases across the country have jumped from 1,000 to more than 4,200 since August.
The first case of cholera, which spreads mainly through contaminated food and water, was reported in March in southern Malawi.
But the disease has now spread to 22 of Malawi’s 28 districts. Experts have warned that the situation could be worsened by the onset of the rainy season in November.
The government has been conducting a mass cholera vaccination in the southern Africa nation, which is one of the poorest in the world.
Data from the World Health Organization show that this is the worst outbreak so far this year globally.
The country's cholera response plan currently has a funding gap of more than $13m (£11.8m).
Malawi is currently facing one of its worst economic periods and has witnessed street protests sparked by shortages in fuel, electricity and forex, as well as drugs and medical supplies.
BBC
Kati ya Agosti na Septemba 2022 maambukizi yameongezeka kutoka watu 1,000 hadi 4,200 na chanzo ikiwa ni Maji Machafu na Chakula huku nchi ikihitaji msaada wa Tsh. Bilioni 30.3 kukabili janga hilo.
Takwimu kutoka kwa Shirika la Afya Duniani zinaonesha mlipuko huu ni mbaya zaidi kuwahi kutokea kote duniani huku wataalamu wakionya hali itakuwa mbaya zaidi msimu wa mvua za Novemba ukianza.
=========================
Cases of cholera in Malawi have more than tripled in the last two months as authorities struggle to contain an outbreak that has killed more than 117 people so far.
The UN says that cases across the country have jumped from 1,000 to more than 4,200 since August.
The first case of cholera, which spreads mainly through contaminated food and water, was reported in March in southern Malawi.
But the disease has now spread to 22 of Malawi’s 28 districts. Experts have warned that the situation could be worsened by the onset of the rainy season in November.
The government has been conducting a mass cholera vaccination in the southern Africa nation, which is one of the poorest in the world.
Data from the World Health Organization show that this is the worst outbreak so far this year globally.
The country's cholera response plan currently has a funding gap of more than $13m (£11.8m).
Malawi is currently facing one of its worst economic periods and has witnessed street protests sparked by shortages in fuel, electricity and forex, as well as drugs and medical supplies.
BBC