Wilaya ambazo hazijawamalizia pesa za kujikimu walimu wapya mnawatesa kuweni na ubinadamu

Joined
Mar 30, 2012
Posts
56
Reaction score
8
nasikitika kwamba baadhi ya wilaya hazijawapa walimu pesa ya kutosha za kujikimu walimu wapya licha ya kuwapeleka vijijin kusikokuwa na huduma za mhimu. Je wanaanzaje maisha walimu hawa kwa pesa kidogo za siku tatu au nne wakat wanatakiwa kupewa pesa ya siku 7? Je mtu anaweza kuanza maisha kwa 135000 au 195000? Je anaweza pata chakula, godoro, na mahtaj mengne ikiwa n pamoja na kodi ya nyumba, maj tukiondoa umeme kwa xabab cio wote wenye umeme, je mnataka kuharbu hata maisha za dada zetu maana watafanya nn zaid ya kutafuta altenative kama za kutafuta wanaume wa kuwahifadh!!? Je toka tarehe .1 had leo mtu anaweza kuish kwa pesa hzo* kuwen na utu jaman mnadhalilisha taaluma za watu....hebu tushirikkane kuzitaja halmashauri hiz tuzijue +

kwa mujibu wa taarifa za wachangiaj thread hii wilaya hizo n kama ifuatavyo;
SENGEREMA,
NJOMBE,
pia nimepata taarifa toka kwa mdau mwingine kaniambia kuna baadhi ya wilaya za mkoa wa Dodoma zimefanyiwa mchezo huo zikiwemo;
DODOMA MJINI,
KONGWA,
lakini Dodoma mjini wamemaliziwa mapema mwishon mwa wiki jana, ntaendelea kuwapa updates kwa mujibu wa wachangiaj na taarifa zingine
 
mkuu hapa HALMASHAURI YA WILAYA YA NJOMBE ni utata mtupu!inawezekana wamekula pesa zetu! leo nimeenda halmashauri kuwawakilisha wenzangu na nikaambiwa NIANDKE BARUA ILI NIMALZIWE PESA YA KUJIKIMU but nilipoandka wakaniambia eti mchakato wa barua si wa siku1,hivyo nisubiri wiki2 zipite WATANIITA KWA SIMU! N:B KAMA KUNA MWENYE MAMLAKA YEYOTE ATAKAYESOMA HII THREAD,BASI ATAMBUE KUWA HALMASHAURI YA NJOMBE (W) IMEJAA RUSHWA,UKABILA N.K
 
Moja kati ya kazi ambazo sitopenda hata kusikia mwanangu akiitaja ni UALIMU! Niliupenda sana ualimu lakini baada ya kufika hapa halmashauri ya wilaya ya SENGEREMA nahisi kila kitu kinanitenga, huku kwetu hakuna hata wa kutufariji, walimu tumegeuka wanafunzi kila muda kuomba pesa za matumizi kutoka kwa wazazi!!! kila kukicha malalamiko ya walimu hayaishi@
 
Last edited by a moderator:

Dah! Pole mkuu njombe wamewapa kiac gan##? Na wanaxemaje kias iliyobak interms of majority? yaan xehem nyingne mbona wamepewa pesa kamili!
 

yaan ualimu unaharibiwa n wa2 flan walio ktk nafac! Inakera xana! Yaan ukiangalia pexa waliyotoa n xawa na naul tuliyo2mia mpaka vi2on what iz the implication?
 
Last edited by a moderator:
yaan ualimu unaharibiwa n wa2 flan walio ktk nafac! Inakera xana! Yaan ukiangalia pexa waliyotoa n xawa na naul tuliyo2mia mpaka vi2on what iz the implication?

Yaani hapa nimechoka mwili mpaka roho!
 
yaan ualimu unaharibiwa n wa2 flan walio ktk nafac! Inakera xana! Yaan ukiangalia pexa waliyotoa n xawa na naul tuliyo2mia mpaka vi2on what iz the implication?

Mwalimu andika basi vizuri, sasa kama we ndo unaandika hivi hao wanafunzi je?
 
Poleni sana, kila mahali pana changamoto zake, hapo ni hela za kujikimu tu bado mshahara haujachelewa
msiishie kulalamika huku wasumbueni huko maofisini.
 
mind u something wacje wakakuandikisha barua wakutafutie chance ya kukutafutia makosa

walitupa TSH157500 toka tarehe1,mpaka leo njaa kali vbaya sana! jana nmeandka barua na wameniambia eti PESA YA SERIKALI ina mchakato mrefu,kwa hyo nisitegemee wiki hii,labda wiki mbili zipite, N:B-NAHSI KAZI NGUMU KWELI,NATAMANI NIRUDI NYUMBANI.
 
hapo fanyeni solidarity uliza makanjanja wabunda walivyo fanya then wakakuta na comfucious mbona hela fasta tukapewa.
 
Yaani hilo ni tatizo kwa kweli...... Lindi Vijijini nako mazingaombwe ni hayo hayo!! Tokea tarehe 1 mpaka leo hakuna lililofanyika zaidi ya 157,500/= waliyoitoa kwa wenye bachelor.
 
Yaani hilo ni tatizo kwa kweli...... Lindi Vijijini nako mazingaombwe ni hayo hayo!! Tokea tarehe 1 mpaka leo hakuna lililofanyika zaidi ya 157,500/= waliyoitoa kwa wenye bachelor.
 
Sasa kama za kujikimu zimechelewa je salary?Ualimu nu zaidi ya kazi!!!!
 

mlivyoripoti mlivyoripoti mlitakiwa mchukue contacts miongoni mwenu. . peaneni taarifa mpange siku muende wote halmashauri hapo... na MUMTAFUTE MUANDISHI WA HABARI WA KITUO CHENYE MUWAKILISHI HUKO MLIPO...then atachukua tukio na kuwahoji wadau ..then sikilizieni muone kama hamjapewa mzigo..nyie wapole sana
 
yaan ualimu unaharibiwa n wa2 flan walio ktk nafac! Inakera xana! Yaan ukiangalia pexa waliyotoa n xawa na naul tuliyo2mia mpaka vi2on what iz the implication?

wewe hustahili kuwa mwalimu wa kukabidhiwa watoto wa watu....uandishi hureflect akili za mtu...komaa akili huu ni uandishi wa kitoto ...eti "xawa....xana..pexa"... disgusting
 
walitupa TSH157500 toka tarehe1,mpaka leo njaa kali vbaya sana! jana nmeandka barua na wameniambia eti PESA YA SERIKALI ina mchakato mrefu,kwa hyo nisitegemee wiki hii,labda wiki mbili zipite, N:B-NAHSI KAZI NGUMU KWELI,NATAMANI NIRUDI NYUMBANI.

Hao wezi tu sie juzi tumeandka barua na muda huo huo tukamaliziwa hela yetu.
 
Pale Bukoba manispaa mambo freshi! Jamaa walipewa zote. Nasema fresh kwakuwa wale ni walimu na serikali iliamua kuchagua kada ya ualimu kama sehemu ya kuwanyanyasa. Wamepewa ya kujikimu nauli bado. Kwakuwa kuna Watu ambao wanapumua bado kwa posho ya siku 3 basi mwalimu wa Bukoba aNaweza kujiona Ana unafuu lakin katika hali halisi bado ni shida. Poleni wakuu. Jambo moja la msingi walimu wenyewe hawajiamini kudai haki zao. Unabebelea mavitabu,machaki,unaenda wapi hujapewa Pesa ya kujikimu?
 
walitupa TSH157500 toka tarehe1,mpaka leo njaa kali vbaya sana! jana nmeandka barua na wameniambia eti PESA YA SERIKALI ina mchakato mrefu,kwa hyo nisitegemee wiki hii,labda wiki mbili zipite, N:B-NAHSI KAZI NGUMU KWELI,NATAMANI NIRUDI NYUMBANI.

me tar 4 nlisepa home narud kesho,walitpa sh 135000 ya siku tatu,nimeenda home had wametoa ndo narudi,mi si --------
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…