Wilaya ya Kigamboni Imetengwa?

Tawire

Member
Joined
Apr 21, 2022
Posts
32
Reaction score
64
Ni miaka minne sasa wilaya hii mpya (Km chache kutoka Ikulu ya Magogoni)haijajengwa hata KM 1 ya lami!!!Hayo Maendeleo yanafanyika wapi katika nchi hii?Kwa muhusika yeyoye atakayebisha juu ya habari hii aje na takwimu zake hapa.
 
Ni miaka minne sasa wilaya hii mpya (Km chache kutoka Ikulu ya Magogoni)haijajengwa hata KM 1 ya lami!!!Hayo Maendeleo yanafanyika wapi katika nchi hii?Kwa muhusika yeyoye atakayebisha juu ya habari hii aje na takwimu zake hapa.
Watuletee Kibada- Mwasonga-Tundusongani
Kibada-Mwasonga-kimbiji

Senta kubwa na barabara ina viwanda vingi lakin hakuna kitu cha maana, kutwa nzima imachongwa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…