kibabu mtoto
Member
- Nov 30, 2024
- 64
- 102
Habari Wadai.
Hili jambo linakera sana watumishi wa halmashauri ya Kilwa hususan walimu wa sekondari. Inashangaza kuona mwalimu kaenea likizo tangu Juni 2021 na katumia nauli yake kwenda likizo, cha ajabu hadi sasa nauli ya likizo ya serikali haijalipwa Kwa mwalimu husika. Ukiuliza inakuwaje inakuwa. Kama unatafuta ubaya Kwa viongozi wa wilaya.
Hali hii Kwa kweli inakatisha tamaa, maana hakuna jibu tunalopewa na viongozi wetu ilhali ni haki yetu. Inafikia hatua watumishi wengine wamekata tamaa ya kudai nauli za likizo Kwa kuwa ni mchakato wa muda mrefu ulsio na mafanikio.
Naomba wahusika mlitazame hili kwa jicho la tatu. Nawakilisha
Hili jambo linakera sana watumishi wa halmashauri ya Kilwa hususan walimu wa sekondari. Inashangaza kuona mwalimu kaenea likizo tangu Juni 2021 na katumia nauli yake kwenda likizo, cha ajabu hadi sasa nauli ya likizo ya serikali haijalipwa Kwa mwalimu husika. Ukiuliza inakuwaje inakuwa. Kama unatafuta ubaya Kwa viongozi wa wilaya.
Hali hii Kwa kweli inakatisha tamaa, maana hakuna jibu tunalopewa na viongozi wetu ilhali ni haki yetu. Inafikia hatua watumishi wengine wamekata tamaa ya kudai nauli za likizo Kwa kuwa ni mchakato wa muda mrefu ulsio na mafanikio.
Naomba wahusika mlitazame hili kwa jicho la tatu. Nawakilisha