Wilaya ya Magu majina ya anuani za makazi yamekosewa, rekebisheni

Wilaya ya Magu majina ya anuani za makazi yamekosewa, rekebisheni

Mkyamise

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2014
Posts
482
Reaction score
614
Hivi vibao vya anuani za makazi mmevichanganya. Barabara ya kutoka Mwanza kwenda Musoma inaitwa NYERERE ROAD. Ninyi mmeiita MUSOMA ROAD. Maeneo ya Kisesa wameandika inaitwa NYERERE ROAD hivyo hivyo na wilaya ya Busega wameiita NYERERE ROAD.

Hata Mwanza mjini barabara hii ilipoanzia inafahamika NYERERR ROAD. Rekebisheni hivi vibao.
 
wewe ndio utatuchanganya zaidi , barabara ya kutoka kituo cha polisi kwenda hospitali ya wilaya ya magu inaitwa nyerere road hivyo kukwepa kuchanganya watu zaidi barabara ya Mwanza - musoma inaitwa musoma road ukiwa magu mjini
 
wewe ndio utatuchanganya zaidi , barabara ya kutoka kituo cha polisi kwenda hospitali ya wilaya ya magu inaitwa nyerere road hivyo kukwepa kuchanganya watu zaidi barabara ya Mwanza - musoma inaitwa musoma road ukiwa magu mjini
Ninazungumzia barabara kuu inayotoka Mwanza kwenda Musoma. Hii inaitwa NYERERE ROAD. Sio Musoma road. Barabara hii imeanzia Mwanza mjini, Magu, Busega, Bunda, n.k. Haiwezekani Mwanza mjini wakaipa jina lingine, wilaya ya Magu ikaipa barabara hii jina lingine, Busega jina lingine n.k
 
Ninazungumzia barabara kuu inayotoka Mwanza kwenda Musoma. Hii inaitwa NYERERE ROAD. Sio Musoma road. Barabara hii imeanzia Mwanza mjini, Magu, Busega, Bunda, n.k. Haiwezekani Mwanza mjini wakaipa jina lingine, wilaya ya Magu ikaipa barabara hii jina lingine, Busega jina lingine n.k
Wew ndo unajichanganya mwenyew ..musoma road ndo nyerere road ,hata mwanza sometime huwa wanaita hvyo . sawa sawa na Kenyatta road inavyoitwa Shinyanga road au airport road inavyoitwa makongoro
 
Back
Top Bottom