Wilaya ya Mbozi wananchi tunaonewa sana, Sehemu nyingine hawachangii Mwenge lakini sisi tunalazimishwa. Agizo kutoka Halmashauri ya Wilaya, ni kuwa kila Mwalimu achangie Elfu tatu (30,00) Kwaajili ya mafuta ya Mwenge.
Je Mwenge hauna bajeti?
Na mwisho wa kutoa mchango ni Tarehe 22.06.2015.
HUU NI UONEVU WA WAZI KABISA.