Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Kufatia kusuasua kwa Viungo wakabaji kama Wanyama, Nemanja Matic na Kante kumetoa nafasi kwa Mnigeria Wilfred Ndidi msimu huu kuwa katika fomu nzuri huku akiwapita kwa mbali sana wakabaji wengine.
Ni suala la muda tu kabla ya timu kubwa kuanza kumfukuzia Onyinye Ndidi wa Leicester City ambaye anaongoza kwa kupiga tackling, blocking na interception huku pia akiwa mwiba kwa kuanzisha mashambulizi ya kwenda golini kwa adui.
Ni suala la muda tu kabla ya timu kubwa kuanza kumfukuzia Onyinye Ndidi wa Leicester City ambaye anaongoza kwa kupiga tackling, blocking na interception huku pia akiwa mwiba kwa kuanzisha mashambulizi ya kwenda golini kwa adui.