stujadiliane
Member
- Jun 2, 2017
- 66
- 84
Kwa watu wote wanaopenda Siasa na kuzifatilia watakubariana na Mimi kuwa Naibu Rais wakenya Shujaa Wiliam Rutto ndiye mwana Siasa mashuhuri katika karine hii..Wiliam Rutto ni mwanasiasa ambaye amepitia vikwazo vingi na vya hatari pengine kuliko mwanasiasa yeyote Africa
Ushujaa wake .uhodari wake wakujieleza ujasiri wake na juhudi zake ndiyo siraha pekee ambayo imemfanya awe hai katika siasa za ukabila na visasi.alinusurika na mikono ya Raila Omoro Odinga kisha akaponea chupu chupu huko ICC.
Wiliam Rutto ninyota inayongaa Africa.ndiye mwanasiasa mashuhuri kwangu katika kaline hii
Ushujaa wake .uhodari wake wakujieleza ujasiri wake na juhudi zake ndiyo siraha pekee ambayo imemfanya awe hai katika siasa za ukabila na visasi.alinusurika na mikono ya Raila Omoro Odinga kisha akaponea chupu chupu huko ICC.
Wiliam Rutto ninyota inayongaa Africa.ndiye mwanasiasa mashuhuri kwangu katika kaline hii