Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
he landed in JKIA before he came to ur stupid countryHaya hao wote waliokuja Kenya. Ulimuona mtanzania kashoboka kuandika kwamba wamekuja tanzania?
Sasa Kenya na tanzania nani wajinga.?sisi hatuna tabia ya kutangaza vitu vya watu.badilikeni.kupita jomo airport sio sababu ya kusema yupo Kenya.hyo njia tu.he landed in JKIA before he came to ur stupid country
Mimi naona hapa umeanzakuchanganisha. Ni kama hujui unalosema wewe!!! Wewe unalialia, kila kitu kikipita karibu na Kenya, mnalialia, huu mlima tunaochukua picha tukiwa Kenya ndio mnashinda mkilialia??Mbona mnapenda ugomvi sana.mipaka ya nchi iheshimiwe.kaja Tanzania tulieni.siku akija kwenu tutatulia.
Hata Tanzania pia ipo Kenya ni Tatizo la kijiografia ndio ikawa huku, lakini haswa Tanzania ni ya Kenya.Kwani ajabu, Obama mkenya, Ben Carson Mkenya, hiyo itakuwa ajabu??
Kilimanjaro ya nani kama haiwafaidi chochote??Sisi wenyewe hatujiheshimu, wenzetu ndo watatuheshimu? Zama za Hayati Nyerere huu ujinga hata wasingethubutu.
Hawa akina MK254 ni mabashite kweli.hizi nchi za jirani ni viazi,Will Smith yuko Tanzania ila awaachi kujidanganya kuwa yuko nchini mwao. Wajinga.
Hawa akina MK254 ni mabashite kweli.
Na wauaji wa albino ni wakenya.Pumbafff.Hehehe Huku wapi umeniita, tena mtatukoma, mna liinchi likubwa lenye kila kitu lakini mnajiachia kuwa maskini hamlitumii vizuri, tutapiga hela tena mbele kwa mbele. Mlima Kilimanjaro wetu, Diamond wetu, Mrisho Mpoki wetu, Serengeti yetu, Magufuli wetu, Bashite wetu, daraja la Kigamboni letu, wanawake Wabongo wetu kwanza pale Rombo tulishawachukua wote. Hadi mkae...
Hehehe hao hatuwataki, wabaki huko huko waendele kutafuna nyama za albino.Na wauaji wa albino ni wakenya.Pumbafff.
Ongezea na magovi hapoHehehe Huku wapi umeniita, tena mtatukoma, mna liinchi likubwa lenye kila kitu lakini mnajiachia kuwa maskini hamlitumii vizuri, tutapiga hela tena mbele kwa mbele. Mlima Kilimanjaro wetu, Diamond wetu, Mrisho Mpoki wetu, Serengeti yetu, Magufuli wetu, Bashite wetu, daraja la Kigamboni letu, wanawake Wabongo wetu kwanza pale Rombo tulishawachukua wote. Hadi mkae...
Hii ni kiboko,maboya!!hizi nchi za jirani ni viazi,Will Smith yuko Tanzania ila awaachi kujidanganya kuwa yuko nchini mwao. Wajinga.
Hizi ndio propaganda za kibiashara, kuna watu special nchi za wenzetu kwa kazi hii, na wanaleta impact. tusiwadharau kabisa.