Msanii wa filamu na mwanamuziki wa ki-Marekani, Will Smith, ameonesha hamu yake ya kujihusisha na mambo ya siasa nchini Marekani.
Msanii huyo amekaririwa kusema kuwa; ni matumaini yake kuingia White House siku moja.
Msanii wa filamu na mwanamuziki wa ki-Marekani, Will Smith, ameonesha hamu yake ya kujihusisha na mambo ya siasa nchini Marekani.
Msanii huyo amekaririwa kusema kuwa; ni matumaini yake kuingia White House siku moja.