Will you accept me?

Will you accept me?

kibebi

Senior Member
Joined
Feb 22, 2013
Posts
111
Reaction score
267
Hamjambo wa MMU,

Mimi ni kibebi, jinsia yangu ni mwanamke, nina umri wa miaka 29 ninaishi abroad (Ulaya). Rangi ya ngozi yangu ni maji ya kunde, mrefu wastani, sijawahi kuolewa kabla, na elimu yangu ni ya phd. Sipendi uongo na hila.

Ninatafuta kijana mwenye umri kuanzia miaka 30-40 atakae kuwa tayari kuwa rafiki, tukielewana tutaenda hatua ya wapenzi na hatimaye mume. Asiwe mario (anayependa kulelewa)Tutaanza na urafiki na ikionekana we can make it mambo mengine yatafuata. Pia awe tayari kuhamia ulaya ASAP tutakapofikia hatua za ndoa (kama tukijaliwa kufika huko). Napenda mtu mkweli na muwazi, kama utakuwa ni mtu wa hila ukweli sitakuvumilia na tutaachana tu kwenye hatua za awali.

Kuhusu maisha ya baadae (tukishafika kwenye level ya mke na mme) wakati akija ulaya asiwe na wasiwasi kwani nitasimamia kila kitu hadi mambo yake yanyoroke.

Naomba kama hauko serias usinitumie pm tafadhali.

Only shortlisted candidates will be contacted.

Ni mimi Kibebi.
 
Hamjambo wa MMU,

Mimi ni kibebi, jinsia yangu ni mwanamke, nina umri wa miaka 29 ninaishi abroad (Ulaya). Rangi ya ngozi yangu ni maji ya kunde, mrefu wastani, sijawahi kuolewa kabla, na elimu yangu ni ya phd. Sipendi uongo na hila.

Ninatafuta kijana mwenye umri kuanzia miaka 30-40 atakae kuwa tayari kuwa rafiki, tukielewana tutaenda hatua ya wapenzi na hatimaye mume. Asiwe mario (anayependa kulelewa)Tutaanza na urafiki na ikionekana we can make it mambo mengine yatafuata. Pia awe tayari kuhamia ulaya ASAP tutakapofikia hatua za ndoa (kama tukijaliwa kufika huko). Napenda mtu mkweli na muwazi, kama utakuwa ni mtu wa hila ukweli sitakuvumilia na tutaachana tu kwenye hatua za awali.

Kuhusu maisha ya baadae (tukishafika kwenye level ya mke na mme) wakati akija ulaya asiwe na wasiwasi kwani nitasimamia kila kitu hadi mambo yake yanyoroke.

Naomba kama hauko serias usinitumie pm tafadhali.

Only shortlisted candidates will be contacted.

Ni mimi Kibebi.

Ama kweli DUNIA IMESOGEA JAMANI HAAAAAHAAAA? Napenda kutoamini haya tafadhari.... acha nilale then nitasema ya moyoni wanajf...
 
Hamjambo wa MMU,

Mimi ni kibebi, jinsia yangu ni mwanamke, nina umri wa miaka 29 ninaishi abroad (Ulaya). Rangi ya ngozi yangu ni maji ya kunde, mrefu wastani, sijawahi kuolewa kabla, na elimu yangu ni ya phd. Sipendi uongo na hila.

Ninatafuta kijana mwenye umri kuanzia miaka 30-40 atakae kuwa tayari kuwa rafiki, tukielewana tutaenda hatua ya wapenzi na hatimaye mume. Asiwe mario (anayependa kulelewa)Tutaanza na urafiki na ikionekana we can make it mambo mengine yatafuata. Pia awe tayari kuhamia ulaya ASAP tutakapofikia hatua za ndoa (kama tukijaliwa kufika huko). Napenda mtu mkweli na muwazi, kama utakuwa ni mtu wa hila ukweli sitakuvumilia na tutaachana tu kwenye hatua za awali.

Kuhusu maisha ya baadae (tukishafika kwenye level ya mke na mme) wakati akija ulaya asiwe na wasiwasi kwani nitasimamia kila kitu hadi mambo yake yanyoroke.

Naomba kama hauko serias usinitumie pm tafadhali.

Only shortlisted candidates will be contacted.

Ni mimi Kibebi.

Poa nakufata
 
dada angu kama wa ulaya utapata wengi cuz sio wote walokua wakweli wengine baruti wakifika ulaya nayaona huku nilipo watu wanapigwa misere wakishajua maisha lol so be careful in r decision
 
Hii post imenikumbusha mhaya mmoja alipoenda ulaya alikua anafanya kz ya tax driver malazi alikua analaa ndani ya tax maisha dhiki mtindo1,ck kama zali akakutana na mja maica alo kodi tax ktk story wakajuana na akawa mteja wake wa kila siku,mjamaika akakubali aolewe na mhaya ili kumsaidia apate uraia,wakajaribu kuzaa ili mhaya apate urai kwa wapec bahati mbaya mimba 6 zote zilitoka ya 4 akapata wtt mapacha wakiume wakapata uraia na baada ya mda akapata wakike1,na ndo hapo walipokuja bongo kumtambulisha kwa wakweze akamtelakeza na watoto na kukana cwake wakati ndo walompatia uraia na kujimwaga na binti wakitanga kwa mali za mjamaica,na vitisho vya kumtishia amani juu.
Source clouds fm!
 
Ulaya ipi kimwana,pengine tuu majirani ili ikiwezekana tuonane weekend hiihii lol!
 
Huyo mwanaume wa kuoana ahamie ulaya asap, lazma na damu ya umarioo iwepo. Kama mtu ana maisha yake amejidhatiti and he is on his two good feet, kuhama jumla ni uamuzi mgumu. Why arent you flexible? You are making too much dooz?
 
Acha kuchora watu wewe, jitahidini kua na heshima hapa si mahali pa kuleta pumba hii ni sehemu ya kuleta mchoro, na watu kama nyinyi ndio mnashusha hadhi ya jukwaa la love connect na kuonekana wote wanao tokea hapa wanafanya utani kama wewe
 
hamjambo wa mmu,

mimi ni kibebi, jinsia yangu ni mwanamke, nina umri wa miaka 29 ninaishi abroad (ulaya). Rangi ya ngozi yangu ni maji ya kunde, mrefu wastani, sijawahi kuolewa kabla, na elimu yangu ni ya phd. Sipendi uongo na hila.

Ninatafuta kijana mwenye umri kuanzia miaka 30-40 atakae kuwa tayari kuwa rafiki, tukielewana tutaenda hatua ya wapenzi na hatimaye mume. asiwe mario (anayependa kulelewa)tutaanza na urafiki na ikionekana we can make it mambo mengine yatafuata. Pia awe tayari kuhamia ulaya asap tutakapofikia hatua za ndoa (kama tukijaliwa kufika huko). Napenda mtu mkweli na muwazi, kama utakuwa ni mtu wa hila ukweli sitakuvumilia na tutaachana tu kwenye hatua za awali.

Kuhusu maisha ya baadae (tukishafika kwenye level ya mke na mme) wakati akija ulaya asiwe na wasiwasi kwani nitasimamia kila kitu hadi mambo yake yanyoroke.

Naomba kama hauko serias usinitumie pm tafadhali.

Only shortlisted candidates will be contacted.

Ni mimi kibebi.

😛layball:
 
Huyo mwanaume wa kuoana ahamie ulaya asap, lazma na damu ya umarioo iwepo. Kama mtu ana maisha yake amejidhatiti and he is on his two good feet, kuhama jumla ni uamuzi mgumu. Why arent you flexible? You are making too much dooz?
Ningeshangaa sana kama usingetokea maeneo haya!
 
Achen u-mariooo!mwende Ulaya!! Ila kibebi kwa Bongo wengi ni marioo!
 
Last edited by a moderator:
kibebi, unadai hujawahi kuolewa kabla, unamaanisha huna mtoto au watoto? Au?
Weka wazi.
 
Last edited by a moderator:
kibebi wanaume ulaya walivyojaa,wapopo mpaka wahindi weusi:tape2:..umekosa mmoja?,na hii njia ya kujinadi namna hii unaonyesha usivyojiamini yaani uko desperate kumpata na unatumia status yako kifedha au cheo kumpata,mapenzi hayaendi hivyo mwaya.............pole sana ukiingia website dating sites zao au ukianza kujichangaya hapo hapo kwa kwenda kny pubs,social events hutakosa mmoja.
 
Last edited by a moderator:
Heheheiyaaaaaaa kumekucha, wale mabeach boy changamkieni dili hili, mtawinda wazungu beach hadi lini??
 
Da! Yaani hili jukwaa kila nikija humu, vigezo vinavyowekwa nakosa sifa...HAYA MAMA KILA LA KHERI !!
 
Arifu Yo Yo zali za kuondoka mavumbini hilo.....ukishafika Ulaya ni rahisi zaidi kufika USA:usa2:

Yaani amtoroke kama kama wanavyofanya wengine mambo yakisha kaa sawa?
Wanaume wachache ndio huwa wanatoroka kulinganisha na wadada.
Wamelizwa watu, we acha tu, muache ajaribu, anaweza akawa na bahati.
 
Back
Top Bottom