Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
- Hapana I changed the plan na kubaki Mafian Lounge na marafiki zangu mabebs wa ukwee toka US, picha zinakuja soon as soon as nikifika home, so fasten your belt!! kina Super Sintah, Super Kidoti na Star Johnson walitaka kunipitia lakini nikaawaambia Kawe kwa leo noma nabaki na hawa mabebs Mafian, so!
ha! ha! ha! ha!
Le Mutuz!!
Yeye kapita kama Mjumbe wa Kata na Pia Mjumbe wa Wazazi wa Kata
Kwahiyo kapita kwa Kofia Mbili za Ujumbe; Hakugombea hizo Nafasi Nyeti
​ndio maana mzee john malecela hajawahi kumtambulisha huyu william kwa jamii alijua ni kituko
[/CENTER]
@W. J. Malecela
Hapo tu ndo nakuona kama mtu mwepesi sana wa kusrespond ovyo tofauti na unavyotakiwa kuwa, plz jifunze kusema na media especially social networking like JF, otherwise you are destroying yourself
Nimewasoma kwa umakini DaudiMchambuzi na CCM- Mama.
Nasikitika sana Willium amepuuza busara na hekima zao.
Hata hivyo mawazo na fikra zao,kuhusu maadili ya uongozi wa umma zinaweza kutumiwa na yeyote anayetamani kuongoza watu.
- Maadili nonsense kama yako hutolewa kwenye thread ya majungu na imaginations kama hii ndio maana siwezi kusikiliza coz ni simply nonsense!!
Le Biig Shoow!!
Huyu jamaa kiboko ana roho ya paka, anyway ngoja tukuangalie na wakati zako za ucelebrity pamoja na siasa. Mungu tuepushe na hiki balaa
Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!
- JUST GET LIFE BABY! HA! HA! HA! HII YENU INAITWA NATAKA SITAKI, SAWA NILIKUTAKA KWA KUTOKUKUJUA WANAOKUJUA WALINIONYA MAPEMA SANA NIACHANE NA WEWE NAMSHUKURU SANA MUNGU NILIKUACHA MAPEMA SANA, MWANAMKE MTUMZIMA ELIMU KUBWA LAKINI KICHWANI WADUDU WATUPU, THIS IS THE BEST YOU COULD DO BADALA YA KUTAFUTA MWANAME MWINGINE, NAJUA SHIDA YAKO NI MTOTO WA KIONGOZI VIPI MBONA WAPO WENGI SANA FACEBOOK KWANI NI MIMI TU?
- UNAHANGAIKA KILA KONA UNAIFUATA FUATA NINI KINAKUSUMBUA DADA? IMETOKA WANGU SINA MPANGO TENA NA WEWE, NINAAMINI UNA AKILI ZA KUTOSHA KUJUA UKWELI HAPA KWAMBA SINA MUDA ATENA NA WEWE, POLE SANA RUDI TENA FB KUNA WATOTO WA VIONGOZI KIBAO SIO LAZIMA IWE MIMI TU!!
NAKUONEA HURUMA SANA, COZ MIMI SIO WA KWANZA DUNIANI KUCHANA NA MKE, TENA MIAKA MITATU ILIYOPITA WEWE UNAONGELEA LEO, WATOTO WANGU HAWAHUSU ANYTHING NI WATU WAZIMA WANA AKILI ZA KUTOSHA KUJUA KWAMBA NINA MY LIFE TO LIVE NA KWAMBA KWA SABABU NI BIG CELEB, NINAKUTANA NA CELEBS WENGINE NA KUPIGA NAO PICHA NA ZIPO KILA MAHALI KWA SABABU MIMI SASA NI BIG CELEB AU BIG STAR!!
HA! HA! HA! HA! HA! HA! NAOMBA NIISHIE HAPA MAANA INAVUNJA MBAVU SANA JINSI UNAVYOHANGAIKA TOKA NIKUKATIE UMEME!1 PLEASE TAFUTA BWANA MWINGINE SI ULISEMA UNAYE, AU? HA! HA! HA1 BY THE WAY JUMAMOSI IAJYO NIMEALIKWA KUTOA HOTUBA KWENYE MKUTANO WA MAKANISA KARIBU SANA UJE UMUOMBE MUNGU WAKO AKUSAIDIE UONDOKANE NA MIMI KICHWANI MWAKO THIS IS BIG SHOOW NDIO KWANZA LIMEANZA BADO MAPEMA SANA!! KAA PEMBENI UONE MAANA LE MUTUZ IN THE ACTION!! NI SUPER SANA!! HA! HA! HA!
LE BIIG SHOOW!!
Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!
William 3-1 Gang Chomba na wenzie...
the saga continua
.......................
Watoto wa Mwinyi, Makamba, Nchimbi, Nnauye, Kawawa,Sokoine, ec..wote wanabebwa kwa nini wewe usibebwe? Pengine kwa sababu wewe ni mzito sana na hii inatokana na zigo la wakina Wema na Mange ulilojitwika mwenyewe.....
................Pengine yeye hataki kubebwa na wala hataki kuwa mnafiki kwa kujifanya hana taimu na mademu huku anawazimia kweli. Nisingemlaumu kwa matendo yake kama ndivyo alivyo; wanaopata uongozi kwa kutunafikia ni wabaya zaidi kuliko hawa wanaokosa uongozi kwa kuonyesha ukweli wao.
William Malecela,
Ndugu yangu, sikia ushauri unaopewa. Wewe ni mtu mzima. miaka 50 siyo kidogo. Tafakari hatima yako, haya mambo ya kuzunguka na wakina Wema, sintah, miss tanzania hayana tija katika harakati zako. Kila mtu anakuona kama vile haujakomaa siyo tu kisiasa bali hata kisaikolojia kiasi cha kupewa uongozi.
Nina imani, Rais Kikwete angeshakupa hata ukuu wa wilaya, lakini ww kila siku hupo kwenye klabu na mademu lukuki. Nakushauri ufunge blog lako, punguzi kujianika kwenye mitandao na pia utafakari mbele. Tabia unazoonyesha kwa sasa hazina toauti na za Mange (mtoto wa dadako). Kwa mtu msomi mweye upeo, nadhani haya yote ungeshayaona. Kumbuka una familia, watoto na mke. Hata kama mmeachana lakini bado ni mama watoto wako. Usijishushie heshima katika jamii
Come on William. Unawezaje kuzunguka na Mange, Sintah na Wema? seriously!
Kiongozi ni kioo cha jamii. Pale vijana wadogo ambao wengi wao ndio wapiga kura watakapokuona wa maana kwa kufanya vitu vya maana badala ya kujiita majin aya ajabu kama mvuta bangi wa kijiweni, mara LeBaharia, LeMutuz, bigshow, etc.. watakupigia kura, zaidi ya hayo, nadhani utaendea kuwa msindikizaji.
Mwone vicky Kamata, Catherine magige ambao hata kusoma sijui kama wanajua wako bungeni, wewe ni zaidi yao mara kumi, il akwa mwendendo huu ndugu yangu, safari itakuwa ndefu sana. Ushauri tu. Ila ukweli ni dawa, naomba uimeze utapona. Kumbuka wewe ni mtoto wa kiongozi mambo yenu ni mswano. Ni kiasi cha simu au note, lakini wewe kwao hata hao viongozi utaonekana mtu asiye bebeka.
Watoto wa Mwinyi, Makamba, Nchimbi, Nnauye, Kawawa,Sokoine, ec..wote wanabebwa kwa nini wewe usibebwe? Pengine kwa sababu wewe ni mzito sana na hii inatokana na zigo la wakina Wema na Mange ulilojitwika mwenyewe. Mtoto wa mkulima anasota miaka karibia 15 kufikia hapo ulipo, wewe tu kushuka majuzi toka NY, umeshakutuna na viongozi karibia wote. Kwa nini wasikulazimishie hata ka cheo?
Jibu mwenyewe kwani wanao wanakuwa na wanakusubiria kule Mt. Vernon. Kadhalika wapo katika umri wa kusoma mitandao na kuona picha zako na Vimwana