Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Leo asubuhi nilikuwa naongea na shemeji yangu mmoja ambae ni afisa wa KRA ananiambia Wakenya wajiandae kulipia gharama za ufisadi.
Unaambiwa William Ruto kawekwa na matajiri hasa jamii ya Wakikuyu kwa ajili ya maslahi yao ya kibiashara. Na unaambiwa Raila Odinga angeingia Ikulu mafisadi wangekunya mavi.
Kila la heri majirani.
Unaambiwa William Ruto kawekwa na matajiri hasa jamii ya Wakikuyu kwa ajili ya maslahi yao ya kibiashara. Na unaambiwa Raila Odinga angeingia Ikulu mafisadi wangekunya mavi.
Kila la heri majirani.