Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Watanzania mnapenda kuchukulia mambo kwa wepesi wepesi sana"Unaambiwa" "unaambiwa"
Hiyo inaonyesha hauna uhakika na taarifa yako. Tupe deadline mpaka lini hayo uliyosema yaanze kutokea huko kwa majirani.
Hii topic imekuzidi akili nenda jukwaa la mipasho na uzi wa kula kimasihara ndio saizi yakoFuata yako achana na majirani, wewe hao mafisadi wakifaidi nchi inakuuma nn!! Na wewe mwambie shemeji awe fisadi!!
Uhuru aliwekwa na nani? Kuna vita yoyote ya ufisadi aliyopigana Uhuru katika miaka yake 10 ya Urais Kenya?Leo asubuhi nilikua naongea na shemeji yangu mmoja ambae ni afisa wa KRA ananiambia wakenya wajiandae kulipia gharama za ufisadi.
Unaambiwa William Ruto kawekwa na matajiri hasa jamii ya wakikuyu kwaajili ya maslahi yao ya kibiashara. Na unaambiwa Raila odinga angeingia Ikulu mafisadi wangekunya mavi.
Kila la heri majirani.
Shwaini kabisa wewe.Leo asubuhi nilikua naongea na shemeji yangu mmoja ambae ni afisa wa KRA ananiambia wakenya wajiandae kulipia gharama za ufisadi.
Unaambiwa William Ruto kawekwa na matajiri hasa jamii ya wakikuyu kwaajili ya maslahi yao ya kibiashara. Na unaambiwa Raila odinga angeingia Ikulu mafisadi wangekunya mavi.
Kila la heri majirani.
Kwa hiyo wapiga kura wake wote asilimia 51 ni matajiriLeo asubuhi nilikua naongea na shemeji yangu mmoja ambae ni afisa wa KRA ananiambia wakenya wajiandae kulipia gharama za ufisadi.
Unaambiwa William Ruto kawekwa na matajiri hasa jamii ya wakikuyu kwaajili ya maslahi yao ya kibiashara. Na unaambiwa Raila odinga angeingia Ikulu mafisadi wangekunya mavi.
Kila la heri majirani.
Umeingizwa chaka tena pori la kongo ni alikuwa raioa sio ruto huoni hata best yake ruto alikuwa amepagawa.Leo asubuhi nilikua naongea na shemeji yangu mmoja ambae ni afisa wa KRA ananiambia wakenya wajiandae kulipia gharama za ufisadi.
Unaambiwa William Ruto kawekwa na matajiri hasa jamii ya wakikuyu kwaajili ya maslahi yao ya kibiashara. Na unaambiwa Raila odinga angeingia Ikulu mafisadi wangekunya mavi.
Kila la heri majirani.
Nani tujuzeUnafahamu tajiri au Familia tajiri namba moja Kenya ni nani?
Huna habari."Unaambiwa" "unaambiwa"
Hiyo inaonyesha hauna uhakika na taarifa yako. Tupe deadline mpaka lini hayo uliyosema yaanze kutokea huko kwa majirani.
Zimejengwa wapi? Mahakama ya mafisadi sio majengo bali ni aina ya kesiHadithi za uwongo hizi...... kuna wengine mpaka mahakama za ufisadi walizijenga lakini mpaka leo hakuna mafisadi waliohukumiwa na Mahakam hizo hapa TZ.