Kenya 2022 William Rutto: Nilimfanya Uhuru Kenyatta Rais wa Kenya

Kenya 2022 William Rutto: Nilimfanya Uhuru Kenyatta Rais wa Kenya

Kenya 2022 General Election

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Akizungumza mjini Meru katika siku ya mwisho ya ziara yake ya Mlima Kenya Mashariki, Makamu wa Rais Ruto amesema wakati Mahakama kuu, ilipoamuru uchaguzi wa marudio mnamo 2017, Rais Kenyatta hakutaka kurudia na alimlazimisha kurudia uchaguzi huo kwani asingemruhusu kuacha kazi aliyoifanya kwa kuwa aliamka saa 10 alfajiri kufanya mikutano ya kampeni

“Kuna watu ambao wanasambaza rekodi fulani wakidai nilimlazimisha Uhuru kugombea. Wacha niwaambie kwamba hawajui jinsi tulivyomfanya Uhuru Kenyatta kuwa rais. Sisi ndio tuliofanya kazi kwa bidii kuhakikisha tumeshinda”,alisema Dkt. Ruto

Mashambulio yanayoendelea dhidi ya Rais kutoka kwa naibu wake yanadaiwa kuchochewa na rekodi ya sauti iliyovuja ambapo Dkt Ruto anasikika akiwaambia wajumbe wa Gikuyu Rais alikuwa amejitoa baada ya kubatilishwa kwa kuchaguliwa kwake tena na Mahakama ya Juu mwaka 2017

.....................................................................

Deputy President William Ruto has sustained the campaign that President Uhuru Kenyatta owes the presidency to him, as the latest feud exposes intrigues leading to their election in 2013 and re-election in 2017.



And with 34 days to the presidential vote to pick President Uhuru’s successor, Dr Ruto and his camp revisited the previous transition in 2013 to paint the Head of State as a reluctant and ungrateful leader who had turned his back on his backers to side with his bitter-rival-turned-ally Mr Raila Odinga in this year’s election.

Dr Ruto recounted how after Mr Odinga had successfully petitioned the Supreme Court to annul President Kenyatta’s re-election in 2017, he had pushed him to participate in the fresh presidential election, seemingly stressing the characterisation of the Head of State that his camp has sought to project in the ongoing campaigns.

The latest accounts also turn the focus on the changing roles the main politicians play every election cycle, with Mr Odinga and Mr Kalonzo Musyoka — who in the run-up to 2013 polls briefly flirted with Mr Kenyatta and Dr Ruto — finding themselves fighting in one corner, while Mr Musalia Mudavadi who had been handed the baton momentarily by the President in 2013, is batting in Dr Ruto’s corner.

Speaking in Meru Town on the last day of his Mt Kenya East tour, DP Ruto said when then Chief Justice David Maraga ordered a repeat election, President Kenyatta threw in the towel and did not want to go for the repeat poll, a situation that would have handed Mr Odinga the presidency had it been allowed to prevail.

“There are people who are circulating some recordings claiming I forced Uhuru to run. Let me tell them that they don’t know how we made Uhuru Kenyatta the president. We are the ones who worked hard to ensure that we won and the Azimio la Umoja brigade are conmen,” Dr Ruto said.

“Did you expect me also to give up? No way! Even if I pushed the president, I did no mistake. Do you think I would have allowed him to give up the job I had worked for together with the people of Kenya? There is no way I could have left Mr Odinga to take our victory,” he said.

DP Ruto said he did most of the campaigns in 2013 and 2017, waking up as early as 4am and by the time Mr Kenyatta joined them, he would have done several meetings.

“I could not let it go, nilimkaza kweli kweli mpaka akakubali kwa sababu ni rafiki yangu (I pushed him until he agreed because he is my friend),” he added.

Dr Ruto said Mr Odinga, his running mate Martha Karua and his Azimio team, were now pretending to be friends with the President and castigating him yet they did not know how Mr Kenyatta had won the presidency.

“Where were they when we voted for Uhuru and made him the president? Do they know how we made Uhuru the president?” Dr Ruto posed.

The sustained onslaught on the President by his deputy has been prompted by a leaked audio recording in which Dr Ruto tells a delegation of Gikuyu elders the president had given up after the nullification of his re-election by the Supreme Court in 2017.

But it’s the DP’s apparent statement in jest that he nearly slapped his boss to jolt him from the defeatist thoughts that his rivals have capitalised on to portray him as a dangerous man who cannot be trusted with power.

SOURCE: NATIONAL TV KENYA
 
Raila ananafac kubwa Ruto atakuwa km rowasa atakomea kuiona tu ikulu
 
Zimebaki siku chache tunzeni hii quotes mlete mrejesho.Ipo hivi duniani nzima ikiwemo serikali zote za duniani zipo chini ya nguvu za mamlaka ya watawala wa ulimwengu usioonekana, chochote kabla hakijafanyika ktk ulimwengu wa macho tayari kilishafanyika au afikiwa ktk ulimwengu usioonekana.
Uwe unataka utaki unakubali ukubali sisi sote tunaongozwa na nguvu zilizo nje ya uwezo wetu ambazo zipo ktk ulimwengu wa siri.
Kama serikali tu inawatambua wazee mfano wazee wa Dar ukadhani ni wazee as wazee sababu ya mvi au umri upo nyuma upo wrong,wale ni watu wazito Sana katk ulimwengu ulionekana wapo physical kuwakilisha wakuu wa ulimwengu usioonekana.
Ni SAwa na vatican, vatican si kama vatican ni zaidi ya vatican,thus wakuu wote wa duniani bila kujali dini ni lazima wasalute kwa Pope. Raila Odinga alimshinda UHURU uchaguzi uliopita akawa ajakubaliana masharti ya wakuu wa dunia thus akachezewa mchezo akapewa UHURU, Then anaitwa akaitwa akayakubali masharti thus anachukua this time hata Kenyatta analijua hili ndo maana kaamua kuwa upande wa Raila.
Kwann kambi ya Raila itashinda.
1.Wakenya wamechoka kutawaliwa na kabila/ ukanda mmoja miaka yote, wanataka kubadilisha ladha.
2.Kambi ya Odinga ni strong Ina wagombea smart na wameshauzika miaka mingi sana yaani Odinga na Martha Karua kuliko kambi ya Ruto pia ni wanasiasa mahiri na ni wachapa Kazi wakenya wanaona watavusha na sio ile kambi ya mafisadi.
3.Kambi ya ODIMA yaani Martha na Odinga Ina makampeni meneja smart na makini Sana kuliko kambi ya Ruto.
4.Ruto anajibomboa mwenyewe kwa kauli zake za chuki na visasi na ukosefu wa nidhamu.
5.Ruto ana visasi hana utulivu wa akili yaani sio matured and civilized enough kuongoza nchi,kiburi mjuaji mapepe yaani saikolojia yake haijabalance bado kulinganisha na Odinga,pia ni dictator hofu atawaletea machafuko wa Kenya.
6.Wakuu wa duniani hawawezi ruhusu hayawani aingie ikulu, Kenya ni muhimu Sana kama base ya kucontrol East, and Central Afrika ikiwemo Ghuba ya Aden. Utulivu wa Kenya ni muhimu Sana kwa interest zao.
7.Katika ulimwengu usioonekana wao chaguo lao ni Odinga kwa maana ni rahisi kumcontrol kinyota na sio Ruto yeye hayupo kabisa kwenye radar zao.

Wiki ijayo sio mbali tunzeni post hii.RAILA AMORO ODINGA ndie next president wa Kenya.Upige kura usipige kura tayari wakubwa wa Dunia walishapanga Odinga
 
Zimebaki siku chache tunzeni hii quotes mlete mrejesho.Ipo hivi duniani nzima ikiwemo serikali zote za duniani zipo chini ya nguvu za mamlaka ya watawala wa ulimwengu usioonekana, chochote kabla hakijafanyika ktk ulimwengu wa macho tayari kilishafanyika au afikiwa ktk ulimwengu usioonekana.
Uwe unataka utaki unakubali ukubali sisi sote tunaongozwa na nguvu zilizo nje ya uwezo wetu ambazo zipo ktk ulimwengu wa siri.
Kama serikali tu inawatambua wazee mfano wazee wa Dar ukadhani ni wazee as wazee sababu ya mvi au umri upo nyuma upo wrong,wale ni watu wazito Sana katk ulimwengu ulionekana wapo physical kuwakilisha wakuu wa ulimwengu usioonekana.
Ni SAwa na vatican, vatican si kama vatican ni zaidi ya vatican,thus wakuu wote wa duniani bila kujali dini ni lazima wasalute kwa Pope. Raila Odinga alimshinda UHURU uchaguzi uliopita akawa ajakubaliana masharti ya wakuu wa dunia thus akachezewa mchezo akapewa UHURU, Then anaitwa akaitwa akayakubali masharti thus anachukua this time hata Kenyatta analijua hili ndo maana kaamua kuwa upande wa Raila.
Kwann kambi ya Raila itashinda.
1.Wakenya wamechoka kutawaliwa na kabila/ ukanda mmoja miaka yote, wanataka kubadilisha ladha.
2.Kambi ya Odinga ni strong Ina wagombea smart na wameshauzika miaka mingi sana yaani Odinga na Martha Karua kuliko kambi ya Ruto pia ni wanasiasa mahiri na ni wachapa Kazi wakenya wanaona watavusha na sio ile kambi ya mafisadi.
3.Kambi ya ODIMA yaani Martha na Odinga Ina makampeni meneja smart na makini Sana kuliko kambi ya Ruto.
4.Ruto anajibomboa mwenyewe kwa kauli zake za chuki na visasi na ukosefu wa nidhamu.
5.Ruto ana visasi hana utulivu wa akili yaani sio matured and civilized enough kuongoza nchi,kiburi mjuaji mapepe yaani saikolojia yake haijabalance bado kulinganisha na Odinga,pia ni dictator hofu atawaletea machafuko wa Kenya.
6.Wakuu wa duniani hawawezi ruhusu hayawani aingie ikulu, Kenya ni muhimu Sana kama base ya kucontrol East, and Central Afrika ikiwemo Ghuba ya Aden. Utulivu wa Kenya ni muhimu Sana kwa interest zao.
7.Katika ulimwengu usioonekana wao chaguo lao ni Odinga kwa maana ni rahisi kumcontrol kinyota na sio Ruto yeye hayupo kabisa kwenye radar zao.

Wiki ijayo sio mbali tunzeni post hii.RAILA AMORO ODINGA ndie next president wa Kenya.Upige kura usipige kura tayari wakubwa wa Dunia walishapanga Odinga
RUTO NDIO RAISI WA KENYA MTARAJIWA
 
Back
Top Bottom