So your Next president is Ruto.?I think they will...ruto has a track to defend in 2022
if they win on August ruto will have a track to defend after 5yrs..nowhere I've mentioned ruto becoming presidentSo your Next president is Ruto.?
Hata sielewi hili basi linaelekewa wapiSisi hakuna future plan yoyote ya kuondokana na ukosefu wa ajira na umasikini
.@WilliamsRuto "There will be a training centre in every ward across the country for the Ajira Digital Program" [HASHTAG]#JubileePlan4Kenya[/HASHTAG]
Kenya wameahidiwa kujengewa vituo vya mafunzo ya ajira kata zote nchi nzima
Ahadi hii naifananisha na ahadi aliyotupa Rais Magufuli na CCM yake kipindi cha kampeni lakini hadi sasa miaka miwili inakaribia file loading... Sijui hili file limeliwa na virus ama la
Nini mtazamo wako? Je Kenya watatekelezewa au nao file loading... Itawakumba?
Kati ya vitu vya kipuuzi kufanya ni kutoa hiyo 50m kwa kila kijiji/mtaa.Huu ni mpango endelevu na inawezekana maana kuna mengi nimeona serikali ikitimiza ambayo wengi tulidhani ni ndoto.
Vipi zile milioni hamsini kwa kila kijiji Tanzania, mlishazipata au ndio bado zipo kwenye michakato.
of course, do you have a problem?So your Next president is Ruto.?
The file of milioni hamsini seems to be very heavy to open, we are still waiting it is loading...Huu ni mpango endelevu na inawezekana maana kuna mengi nimeona serikali ikitimiza ambayo wengi tulidhani ni ndoto.
Vipi zile milioni hamsini kwa kila kijiji Tanzania, mlishazipata au ndio bado zipo kwenye michakato.
Sgr na lapsset hazikukaa dreams achievableHiyo ni siasa tu, japo kenya mnajitahidi lakini ahidini vitu vinavyoonakana kuwa kweli