Wilolesi mpo humu?

Wilolesi mpo humu?

farida29

Member
Joined
Dec 4, 2008
Posts
34
Reaction score
29
Naomba kama mtakuwepo tukumbushane enzi zile za kuponda kokoto mambo ya jiwe wilolesi pia na mambo ya vikosi vya zamu. R-ip Kajiba kweli alitulea kijeshi sana.
 
mm wa sabasaba primary ila namkumbuka sana mwl.Komba na ndumbalo alikuwa kilema anatumia gongo kutembelea,hata Rip.kajiba nafikir pia aliwah kuwa afisa elimu kama nitakuwa sijakosea
 
Back
Top Bottom