Wilshere huyu tutakuwa nae Russia endapo kama hatokwenda kupumzika hospital katika roundi hii ya pili ya EPL
Nimejaribu kumwangalia kwa umakini mkubwa sana Jack Wilshere katika mechi nne za Epl za Arsenal zilizopita..Dhidi ya Westham,Newcastle,Liverpool na Crystal palace..Bado Jack anauwezo wa kuonyesha ubora Zaidi..
Katika game dhidi ya Livepool kiungo cha Arsenal kilikuwa vibaya sana..Haswa kipindi cha kwanza..Lakini kipindi cha pili Arsenal walirudi imara na nilianza kumwona Wilshere akikatiza mbele ya viungo wa Liverpool Emre Can na James ilner.Na hata alipoingia wijnaldum bado Wilshere pamoja na Xhaka waliweza kuwamiliki viungo watatu wa Liverpool
Jack huwa ana jiamini mno..Ni kipaji maridhawa sana.Nni kiungo ambaye haogopi kutembea na mpira..Ni kiungo anaye weza kukupiga chenga na kuondoka zake…
Naaangalia viungo hawa wa kiingereza (Milner,Henderson,Jack Livermore na wengineo) bado naona nafasi ya Wilshere katika kikosi cha England 2018 world cup Russia....Hasa katika kipindi hiki ambacho England haina vipaji vingi katika timu zao kubwa…England katika kiungo haina frank Lampard,Paul Scholes,Steven Gerrard wala Michael Carrick..
Katika kipindi hiki ambacho Aaron Ramsey anaumwa bado naona Wilshere anavyo zidi kupata nafasi katika kikosi cha Arsenal..Viungo anaobaki katika benchi la Arsenal ni defensive minded (Elneny na Coquelin ) na ningumu kwa Wenger kuanza na viungo wakabaji wawili haswa anapokuwa anatumia mfumo wa mabeki watatu wa kati..
Endapo kama hato pata majeraha ya kumweka nje kwa muda mrefu basi Wilshere tutakuwa nae Russia 2018..Mark my words
Nimejaribu kumwangalia kwa umakini mkubwa sana Jack Wilshere katika mechi nne za Epl za Arsenal zilizopita..Dhidi ya Westham,Newcastle,Liverpool na Crystal palace..Bado Jack anauwezo wa kuonyesha ubora Zaidi..
Katika game dhidi ya Livepool kiungo cha Arsenal kilikuwa vibaya sana..Haswa kipindi cha kwanza..Lakini kipindi cha pili Arsenal walirudi imara na nilianza kumwona Wilshere akikatiza mbele ya viungo wa Liverpool Emre Can na James ilner.Na hata alipoingia wijnaldum bado Wilshere pamoja na Xhaka waliweza kuwamiliki viungo watatu wa Liverpool
Jack huwa ana jiamini mno..Ni kipaji maridhawa sana.Nni kiungo ambaye haogopi kutembea na mpira..Ni kiungo anaye weza kukupiga chenga na kuondoka zake…
Naaangalia viungo hawa wa kiingereza (Milner,Henderson,Jack Livermore na wengineo) bado naona nafasi ya Wilshere katika kikosi cha England 2018 world cup Russia....Hasa katika kipindi hiki ambacho England haina vipaji vingi katika timu zao kubwa…England katika kiungo haina frank Lampard,Paul Scholes,Steven Gerrard wala Michael Carrick..
Katika kipindi hiki ambacho Aaron Ramsey anaumwa bado naona Wilshere anavyo zidi kupata nafasi katika kikosi cha Arsenal..Viungo anaobaki katika benchi la Arsenal ni defensive minded (Elneny na Coquelin ) na ningumu kwa Wenger kuanza na viungo wakabaji wawili haswa anapokuwa anatumia mfumo wa mabeki watatu wa kati..
Endapo kama hato pata majeraha ya kumweka nje kwa muda mrefu basi Wilshere tutakuwa nae Russia 2018..Mark my words