Uchaguzi 2020 Wilson Mahera: Kuna Viongozi wa Vyama vya siasa ambao wamejipanga kuharibu Taswira ya Uchaguzi Mkuu 2020

Uchaguzi 2020 Wilson Mahera: Kuna Viongozi wa Vyama vya siasa ambao wamejipanga kuharibu Taswira ya Uchaguzi Mkuu 2020

dubu

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2011
Posts
3,502
Reaction score
3,483
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera Charles, leo Oktoba 23, 2020 amezungumza na Vyombo vya Habari kutoa rai kwa Watanzania, kuvipuuza vikundi au Viongozi wa Vyama vya Siasa ambao wamejipanga kuharibu taswira ya Uchaguzi Mkuu utakaofanyika tarehe 28 Oktoba, 2020.
tumeyauchaguzi_tanzania_20201023_6.jpg
tumeyauchaguzi_tanzania_20201023_7.jpg
tumeyauchaguzi_tanzania_20201023_8.jpg
tumeyauchaguzi_tanzania_20201023_9.jpg
 
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera Charles, leo Oktoba 23, 2020 amezungumza na Vyombo vya Habari kutoa rai kwa Watanzania, kuvipuuza vikundi au Viongozi wa Vyama vya Siasa ambao wamejipanga kuharibu taswira ya Uchaguzi Mkuu utakaofanyika tarehe 28 Oktoba, 2020.
Mahera is there to serve incumbent president interest and not to ensure the presence of free and fair election, no any army can prevent the wave of revolution we want to turn power to the people.
 
Najaribu kuwaza, Mahera anafahamu madhara binafsi anayo weza kukumbana nayo ikiwa uchaguzi huu utaharibika?

Anafahamu hatari ya kujikuta maisha yake yaliyobaki kuyamalizia gerezani na kuacha familia yake ikimlilia?

Je, anajua kuwa huyo anayetumia nguvu nyingi kumtengenezea mazingira haramu hatakuwa naye na atamkana kuwa hakumuagiza aliyofanya?

Kweli shetani akikuingia jambo la kwanza anakuvua akili na kukuachia fuvu tupu
 
Kila siku anajitokeza kuongea upuuzi tu, anaendelea kujidanganya na hayo matamko yake yasiyo na maana kila wakati, watanzania wa leo hawadanganyiki tena.

Anyway, naona Congress ya Marekani wameshamuandikia Magufuli barua nyingine kumkumbusha kulinda haki za raia, huyo Mahera muacheni aendelee kutapika tu.
 
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera Charles, leo Oktoba 23, 2020 amezungumza na Vyombo vya Habari kutoa rai kwa Watanzania, kuvipuuza vikundi au Viongozi wa Vyama vya Siasa ambao wamejipanga kuharibu taswira ya Uchaguzi Mkuu utakaofanyika tarehe 28 Oktoba, 2020.
View attachment 1609827View attachment 1609828View attachment 1609829View attachment 1609830
Mahera na tume yake ndo waharibifu wa uchaguzi huu, aache kudingizia wengine. Hadi amewapigia CCM kampeni. Tume yake imeshindwa hata kuamuwa rufaa nyingi Tu, tume yake imewahenguwa wapinzani.
 
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera Charles, leo Oktoba 23, 2020 amezungumza na Vyombo vya Habari kutoa rai kwa Watanzania, kuvipuuza vikundi au Viongozi wa Vyama vya Siasa ambao wamejipanga kuharibu taswira ya Uchaguzi Mkuu utakaofanyika tarehe 28 Oktoba, 2020.
View attachment 1609827View attachment 1609828View attachment 1609829View attachment 1609830
Naona NEC wamebanwa vilivyo na sasa wanajiandaa kuuweka mpira kwapani

Tuliwaambia tangu awali mwaka huu mtoto hatumwi dukani na hakuna njama mtakayopanga ambayo haitawekwa wazi.

Mmeengua wagombea wa upinzani, mkafanya kurudisha baadhi na bado hamkuwapa barua, mmefungia wagombea wa upinzani kufanya kampeni, mkakataa kuwaapisha mawakala wa upinzani na mbaya zaidi baada ya mbinu zenu za hovyo za kuongeza vituo vya kupiga kura na wapiga kura hewa kubumbuliwa mnajifanya mnajikosha kuwa ni njama za wapinzani kuwachafua.

Niwaambie tu NEC, hakuna rangi mtaacha ona mwaka huu, hakuna uovu mliopanga ambao haujulikani na hautajulikana. Pona yenu mwaka huu n kuruhusu uchaguzi huru na wa haki tu.

Mmeshikwa vibaya sana mwaka huu na kwamwe hamtoki.

Tanzania imeshaamua ni Tundu Antiphas Lissu na Maalim Seif tu!!
 
Uchaguzi gani mmeshapiga kura,vituo hewa na kila jimbo wapiga kura hewa zaidi ya 10,000 wameshapiga kura wagombea wa CCM, ccm wa hovyo hawana akili pamoja na tume ya uchaguzi mbinu wanazotumia ni za kijinga kweli ndo akili zilipogota
 
Tume inahudhunika kama tunavyohudhunika sisi lakini jiwe hajawahi kuhudhunika.
 
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera Charles, leo Oktoba 23, 2020 amezungumza na Vyombo vya Habari kutoa rai kwa Watanzania, kuvipuuza vikundi au Viongozi wa Vyama vya Siasa ambao wamejipanga kuharibu taswira ya Uchaguzi Mkuu utakaofanyika tarehe 28 Oktoba, 2020.
View attachment 1609827View attachment 1609828View attachment 1609829View attachment 1609830
Ni kweli kabisa bwana mahera, hawa waliopanga hizi mbinu chafu wanaoongozwa na madam polepole
 
Viongozi wa vyama pinzani wenyenia ovu na uchaguzi huu washafahamika,wakijaribu wanapigwa spana.
 
Vituo 80150×500= 40,075,000
Wapiga kura = 29,000,000
Difference = 11,000,000 voters
Equivalent na excess ya vituo= 22000..
Mbona namba hazitally ?

Hivi vituo 22,000 wapinzani ambao hata kuwaapisha mawakala ni kaz vinafikika VIP?
Hoja za kuwaengua wagombea wa upinzani umezijibu kwa haraka kama unavozungumiza hilo gar?...
 
Huyu mpumbavu wakati mwingine ni bora akakaa kimya! Kila akipanua kopo lake anahororoja tu! Kuna clip inazinguka Twitter ikionesha lori lililojazwa masanduku ya kura yenye kura zilizopigwa tayari! Sijui mwisho wake umekuwaje? Aache upumbavu huyu! Kwa nini aseme kituo hakitakiwi kuzidi watu 500? Si aseme tu kila kituo kitakuwa na watu 500 basi?
Napata picha kwanini wakati ule akiwa Mkuregenzi wa Halmashauri kule Arusha Jerry Muro alitamani kumzaba vibao. Ni mpuuzi sana huyu.
 
Back
Top Bottom